Maji
-
Kamanda Mkuu wa Sepah: Kila kosa la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi litapokea jibu la haraka na kali
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limedumu katika kuendeleza njia yake yenye utukufu ya kuijenga ustaarabu kwa kuiga mafundisho ya taalim ya upinzani yenye msukumo, ndani ya muktadha wa doktrini ya ulinzi-ushambuliaji ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Limeweka utayari wake wa kijeshi, taarifa na uendeshaji katika kiwango cha juu, na kwa uwazi linawaonya adui za Mapinduzi, mfumo wa Kiislamu na Iran mpendwa na mwenye fahari; kosa lolote lao la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi, Kisiwa cha Hormuz na visiwa vya Iran, litaadhibiwa (litadhibitiwa) kwa jibu thabiti, la haraka, lenye nguvu na linalowaleta majuto.
-
Muqtada al-Sadr Ataka Iraq Ianzishe Mazungumzo na Uturuki Kuhusu Mgogoro wa Maji
Kufuatia kupungua kwa vyanzo vya maji nchini Iraq, Muqtada al-Sadr ametoa wito wa kuanzishwa kwa mazungumzo na Uturuki ili kuongeza mgao wa maji, na ametahadharisha kuhusu athari za mgogoro wa maji kwa afya na kilimo cha wananchi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban akiwa Tehran: Haki ya maji ya Iran imekuwa ikitiririka kwa mwezi mmoja sasa
Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Muda ya Afghanistan, amesema saa chache zilizopita katika “Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran” kwamba: “Kwa mwezi mmoja sasa, haki ya maji ya Iran kutoka Afghanistan imekuwa ikielekezwa kuelekea Sistan na Baluchestan.”
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Afghanistan na Iran wamekutana na kufanya mazungumzo Mjini Tehran
Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Afghanistan, ambaye yuko Iran kwa ajili ya kushiriki katika Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran, amekutana na Sayyid. Araghchi na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa pande mbili, masuala ya kiusalama, hali ya wakimbizi na haki ya maji ya Iran.
-
Fiqh Na Hukumu Zake:
Namna ya Kutoharisha vitu vilivyo najisika kwa kutumia Maji
Anuani ya makala yetu inasema: "Kwa kutumia Maji" kwa kuwa maji ndio yaliyochukua nafasi kubwa katika kutoharisha vilivyonajisika kuliko vingine vyote vyenye kutoharisha.Tutamia herufi (S) kuashiria swali na herufi (J) kuashiria jibu lake.