Najaf
-
Mwanafunzi wa Kitanzania Apewa Heshima ya Kusoma Maatam ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S) Katika Haram ya Imam Ali (A.S), Najaf Al-Ashraf
Hii ni kwa mara nyingine tena, Sauti ya Tanzania kuinuliwa Katika Haram Tukufu ya Imam Ali (A.S), katika Mji Mtukufu wa Najaf Al-Ashraf Nchini Iraq, kupitia Mwanafunzi huyu Mpenzi wa Mtume Muhammad (saww) na Aali zake Muhammad (Amani iwe juu yao).
-
Maukib ya Wanafunzi wa Bara la Afrika Katika Nguzo ya 379, Njia ya Najaf hadi Karbala”
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa moyo mkunjufu, linatoa pongezi na shukrani kwa juhudi zenu nzuri kwa kuandaa Maukib hii.
-
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" Lafanyika Katika Njia ya Arubaini
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".
-
Ushiriki wa Watu wa Khorasan Razavi katika Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) – 1447H / 2025
Watu wa Khorasan Razavi, hasa kutoka Mashhad, wameonyesha mapenzi na kujitolea kwa kiwango kikubwa kupitia huduma za malazi, chakula, afya, elimu ya kidini, sanaa na hata usafirishaji – wakidhihirisha mshikamano wa kweli wa Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) katika harakati ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Likizo ya Wiki Moja katika Mkoa wa Najaf Al-Ashraf kwa Ajili ya Kuwakaribisha Mazuwwari wa Arubaini
Baraza la Mkoa wa Najaf Al-Ashraf limetangaza likizo ya wiki moja kwa ofisi zote za serikali katika mkoa huo, ili kuwezesha ushiriki wa wananchi katika maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na kutoa huduma bora kwa maelfu ya mahujaji wanaoelekea Najaf Ashraf.