Najaf
-
Iraq Yaandaa Mazishi ya Kihistoria ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (ra)
Marasimu ya kihistoria ya mazishi ya mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Hussein Khamenei, pamoja na mashahidi wa familia yake, yanafanyika leo nchini Iraq kwa ushiriki wa maelfu ya waombolezaji.
-
Mwanasiasa wa Pakistan: Kiongozi Shahidi Imam Khamenei Aliifanya Iran Kuwa Taifa la Mapambano na Kuunganisha Umma Dhidi ya Uzayuni
Naibu Kiongozi wa Jamaat-e-Islami Pakistan, Liaqat Baloch, amesema Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei (r.a.) aliiongoza Iran kwa misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu na kuifanya kuwa taifa la mapambano, huku akisisitiza umoja wa Umma wa Kiislamu na uungaji mkono wa kudumu kwa Palestina.
-
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian Awasili Najaf Kushiriki Mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq kwa ajili ya kushiriki katika mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ambapo alipokelewa na Waziri Mkuu wa Iraq pamoja na viongozi wengine waandamizi wa nchi hiyo.
-
Mwakilishi wa Ayatollah Sistani Ataongoza Swala ya Janaza ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika Haram ya Imam Hussein (a.s)
Uongozi wa Ataba Tukufu ya Imam Hussein (a.s.) umetangaza kukamilisha maandalizi yote ya kupokea msafara wa mazishi ya Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, huku swala ya janaza ikitarajiwa kuongozwa na mwakilishi wa Marjaa Mkuu Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, Sheikh Abdul Mahdi al-Karbala'i.
-
Marasimu ya Kumuaga Shahidi Sayyid Ali Khamenei yakamilika Qom, Mazishi Yataendelea Katika Miji ya Najaf na Karbala
Marasimu ya kihistoria ya kumuaga Shahidi Ayatollah Shahidi Sayyid Ali Khamenei yamehitimishwa katika Mji mji Mtakatifu wa Qom, huku mwili wake ukitarajiwa kuwasili Najaf usiku wa Kuamkia Jumatano kabla ya kupelekwa Najaf na Karbala kwa ajili ya mazishi
-
Mwanafunzi wa Kitanzania Apewa Heshima ya Kusoma Maatam ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S) Katika Haram ya Imam Ali (A.S), Najaf Al-Ashraf
Hii ni kwa mara nyingine tena, Sauti ya Tanzania kuinuliwa Katika Haram Tukufu ya Imam Ali (A.S), katika Mji Mtukufu wa Najaf Al-Ashraf Nchini Iraq, kupitia Mwanafunzi huyu Mpenzi wa Mtume Muhammad (saww) na Aali zake Muhammad (Amani iwe juu yao).
-
Maukib ya Wanafunzi wa Bara la Afrika Katika Nguzo ya 379, Njia ya Najaf hadi Karbala”
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa moyo mkunjufu, linatoa pongezi na shukrani kwa juhudi zenu nzuri kwa kuandaa Maukib hii.
-
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" Lafanyika Katika Njia ya Arubaini
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".
-
Ushiriki wa Watu wa Khorasan Razavi katika Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) – 1447H / 2025
Watu wa Khorasan Razavi, hasa kutoka Mashhad, wameonyesha mapenzi na kujitolea kwa kiwango kikubwa kupitia huduma za malazi, chakula, afya, elimu ya kidini, sanaa na hata usafirishaji – wakidhihirisha mshikamano wa kweli wa Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) katika harakati ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Likizo ya Wiki Moja katika Mkoa wa Najaf Al-Ashraf kwa Ajili ya Kuwakaribisha Mazuwwari wa Arubaini
Baraza la Mkoa wa Najaf Al-Ashraf limetangaza likizo ya wiki moja kwa ofisi zote za serikali katika mkoa huo, ili kuwezesha ushiriki wa wananchi katika maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na kutoa huduma bora kwa maelfu ya mahujaji wanaoelekea Najaf Ashraf.