Ngazi
-
Kashfa Yazuka Kuhusu Kujiingiza kwa Sara Netanyahu Katika Uteuzi wa Mkuu wa Mossad
Ingawa muungano wa utawala umepongeza uteuzi huo, ndani ya taasisi ya Mossad mwenyewe kuna mshangao mkubwa pamoja na maswali mengi mazito kuhusu uhalali na mchakato wa uteuzi huo.
-
Mamdani: “Trump ni Mfasisti na Mwimla” — Asema Meya Mteule wa New York.Amesema bado ataendelea kuwa wazi, mkosoaji pale inapobidi, na mshirika pale ku
Kwa maneno yake: “Haki na ukweli huwa vinang’aa daima; uongo haudumu.”
-
Je, Raj‘a (kurejea kwa baadhi ya watu baada ya kifo kabla ya Kiyama):
Ni aina ya harakati ya kurudi nyuma na inayopingana na harakati ya kimaumbile (harakati ya kiasili ya kuendelea mbele) na mchakato wa ukamilifu?
Raj‘a, yaani kurejea kwa waumini waliokuwa wakamilifu kabisa na makafiri waliokuwa wabaya kabisa duniani katika kipindi cha kudhihiri kwa Imam Mahdi (a.s), ni ngazi miongoni mwa ngazi za Siku ya Kiyama, na imo katika njia ya ukamilifu wa mwanadamu.
-
Majibu ya kwanza ya Qatar kufuatia shambulizi la Israel dhidi ya Qatar: Uchunguzi unafanyika katika ngazi ya juu kabisa!!!
Qatar imelaani shambulizi la Israel dhidi ya Hamas mjini Doha.