Barua na maandiko ya mkono ni aina ya kuelekea na kutawassali (kuomba msaada) kwa watu wa nyumba ya Mtume | Maasumina -(amani iwe juu yao).
UNIFIL imeitaka jeshi la Israel kusitisha mara moja mashambulizi ya anga dhidi ya Lebanon na kuondoka kabisa kutoka katika ardhi ya Lebanon.
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.
Jana usiku utawala wa Kizayuni ulishambulia jengo la makazi kwa mashambulizi ya anga bila ya kutoa tahadhari ya awali.