Nyumba
-
Petro Amjibu Trump Vikali: “Ukinikamata, Utachochea ‘Jaguar wa Watu’”
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amemjibu vikali Donald Trump kufuatia vitisho dhidi yake, akikanusha tuhuma za biashara ya dawa za kulevya na kuonya kuwa jaribio lolote la kumtia mbaroni litachochea upinzani mkubwa wa wananchi, huku akisisitiza ulinzi wa uhuru na heshima ya taifa la Colombia.
-
Kinyume na madai ya Taliban; Umoja wa Mataifa waripoti kuongezeka kwa shughuli za ISIS nchini Afghanistan
Umoja wa Mataifa katika tathmini yake ya hivi karibuni ya kiusalama umetangaza kuwa ISIS Khorasan, kinyume na madai ya Taliban, si tu kwamba haijadhibitiwa, bali kwa kubadili mbinu na kuvutia wapiganaji wapya, imepanua shughuli zake hadi katika miji mikubwa ya Afghanistan.
-
Je, Kuandika Maombi (Barua ya Mkono) Kuna Msingi wa Kidini? | Je, kutupa barua kwenye kisima cha Msikiti wa Jamkaran kuna msingi wa kisharia au uzushi
Barua na maandiko ya mkono ni aina ya kuelekea na kutawassali (kuomba msaada) kwa watu wa nyumba ya Mtume | Maasumina -(amani iwe juu yao).
-
UNIFIL: Israel iache mara moja uvamizi dhidi ya Lebanon
UNIFIL imeitaka jeshi la Israel kusitisha mara moja mashambulizi ya anga dhidi ya Lebanon na kuondoka kabisa kutoka katika ardhi ya Lebanon.
-
Kusambaratishwa kwa Vitengo 3 vya Kigaidi vya ISIS Nchini Libya
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.
-
Mmoja wa Maafisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon ameuawa Shahidi
Jana usiku utawala wa Kizayuni ulishambulia jengo la makazi kwa mashambulizi ya anga bila ya kutoa tahadhari ya awali.