Watu 11 wa jeshi la Lebanon wameuawa na kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa mabomu yaliyosalia kutoka kwenye uvamizi wa awali wa utawala wa Kizayuni kusini mwa Lebanon, tukio ambalo limepelekea viongozi wa juu wa nchi hiyo kutuma salamu za rambirambi.
Ingawa Marekani kwa dhihiri imeondoa majeshi yake kutoka Afghanistan, ripoti na kauli za Donald Trump zinaonyesha kuwa msingi mmoja wa kimkakati bado uko chini ya udhibiti wa Marekani nchini humo. Washington inatumia kambi hii kufanikisha malengo kama vile ufuatiliaji wa taarifa za kijasusi kuhusu Iran, China na Urusi, pamoja na kuhifadhi ushawishi wake katika Asia ya Kati.