Uteuzi
-
Sherehe za Kuteua Viongozi wa Kidini katika Ukristo
Uteuzi wa kidini ni sherehe ya kupewa mamlaka ya kushika nafasi za kanisa kwa mtu, na hufanyika tu na Askofu, pamoja na kutakatifuza na kumpa Roho Mtakatifu mtu husika, na mtu hupata uwezo wa kufanya shughuli za kanisa. Katika Uislamu, kiongozi wa kidini ni mhubiri tu wa dini na hawezi kushiriki katika kutunga hukumu. Zaidi ya hayo, uteuzi na kupata mwanga wa kutokosea (infallibility) ni jambo linalomweka kiongozi wa kidini katika nafasi isiyo na shaka, jambo linalopingana na wajibu wa wananchi wa kusimamia kiongozi wa kidini na kuepuka viongozi wenye tamaa za kidunia.
-
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s) kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei; Amemteua Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ramezani kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(as) kwa muhula mwingine tena.
-
Kuongezwa kwa muda wa uteuzi wa Majukumu ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
Kiongozi wa Mapinduzi ameidhinisha kuongezwa kwa muda wa jukumu la Hujjatul-Islam Shahriari kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
-
Ali Larijani Ateuliwa Kuwa Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran
Uteuzi wake katika nafasi hii nyeti unaashiria uwezekano wa mwelekeo mpya katika sera za usalama na uhusiano wa kimataifa wa Iran.