Utulivu
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi Akutana na Mwenzake wa Iraq Jijini Baghdad
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Seyyed Abbas Araghchi, amewasili Baghdad kwa ziara rasmi na kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fouad Hussein, kwa lengo la kujadili masuala ya pande mbili na maendeleo ya kikanda.
-
Iran na Oman Zasisitiza Kutumia Fursa ya Kidiplomasia Kuimarisha Amani na Usitishaji Vita
Iran na Oman zimesisitiza umuhimu wa kutumia fursa ya sasa ya kidiplomasia kuunga mkono amani, kupunguza mvutano na kuimarisha utulivu kwa kuzingatia sheria za kimataifa na ujirani mwema.
-
Iran: Inajiandaa kwa mazungumzo muhimu, makubaliano yanahusisha utekelezaji wa vipengele 5 mara moja
Iran imetangaza kuwa inajiandaa kwa mazungumzo muhimu ya kimataifa huku ikisisitiza utekelezaji wa makubaliano ya amani, kuzuia hujuma dhidi ya mchakato huo, na kupendekeza mpango mpya wa usimamizi wa Mlango wa Hormuz ndani ya siku 60.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa: Israel Imalize (ikomeshe) Uvamizi wa Ardhi ya Lebanon
Sébastien Lecornu amesema kuwa hakuna suluhisho la kudumu kwa mzozo wa kikanda unaohusisha Iran bila kushughulikia kwa uzito suala la Lebanon, akitoa wito kwa Israel kusitisha operesheni zake na kuondoa uwepo wake katika ardhi ya Lebanon.
-
Iraq yakataa kuruhusu matumizi ya anga lake kwa mashambulizi dhidi ya Iran
Tamko la Iraq linaonyesha kuwa Iraq inalinda mamlaka yake na haitaki kuhusishwa na migogoro ya kijeshi katika eneo hilo, ikisisitiza sera ya kudumisha usalama na utulivu wa kikanda.
-
Utulivu wa Kumdhukuru Mwenyezi Mungu; Kama Alivyotufundisha Mtume (s.a.w.w)
Miongoni mwa dua za Mtume (s.a.w.w) kwa ajili ya kuondokana na mzigo mzito wa wasiwasi ilikuwa: «اللَّهُمَّ إِنِّی أَعُوذُ بِکَ مِنَ الْهَمِّ وَالْحَزَنِ…»
-
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar
Mazungumzo hayo yamezingatia masuala mbalimbali ya usalama, ulinzi wa taifa, na maendeleo ya majeshi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya majeshi na wananchi katika kuhakikisha amani na utulivu wa taifa.
-
Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda | Pichani ni Rais wa Congo na Rais wa Rwanda - Nyuzo za Furaha
DRC na Rwanda Zasaini Mkataba wa Amani: Hatua Mpya ya Kidiplomasia Kuelekea Utulivu wa Kikanda
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Hali ya Wasichana katika Uislamu: Upendo, Heshima na Haki
Wasichana katika Uislamu: Hadithi ya Upendo, Heshima na Thamani za Kimungu
Hali ya Wasichana (Mabinti) katika Uislamu inategemea usawa katika uumbaji na heshima ya kibinadamu, ambapo Mwanamke na Mwanaume wameumbwa kutoka nafsi moja. Wanawake wana usawa na wanaume katika kupata elimu, uhuru wa kifedha, na zawadi ya akhera kulingana na matendo mema. Uislamu unathamini sana nafasi ya wasichana katika familia na jamii, hasa katika uba mama na kulea amani na utulivu, na kuziweka nafasi hizi kuwa juu na za heshima.
-
Pezeshkian: Iran daima imesimama imara mbele ya Dhoruba za Historia / Watenda jinai ambao mwenendo wao ni kuua watoto, hawastahili kuitwa Binadamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Iran, hii ndiyo ustaarabu wa kale zaidi unaoendelea duniani, na daima imesimama imara mbele ya dhoruba za historia. Taifa hili, kwa roho kuu na azma isiyokoma, mara nyingi limethibitisha kwamba haliinamii mbele ya wavamizi; na leo pia limesimama kwa heshima mbele ya wanyakuzi, likitegemea nguvu ya imani na mshikamano wa kitaifa