Vyuo
-
Wimbi la Kukatisha Ushirikiano wa Vyuo Vikuu Duniani na Israel
Chuo Kikuu cha Amsterdam kimefuta mpango wa kubadilishana wanafunzi na Chuo Kikuu cha Kiebrania cha Yerusalemu, huku Jumuiya ya Ulaya ya Wanaanthropolojia wa Kijamii ikitangaza marufuku ya aina yoyote ya ushirikiano na Israel.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa: Asilimia 92 ya Watu wa Afghanistan Wanataka Elimu kwa Wasichana Kuendelezwa
Wakati Serikali ya Taliban inaendeleza sera za kuzuia elimu kwa wasichana, ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonyesha wazi kuwa watu wa Afghanistan – wanawake kwa wanaume, wa mjini kwa vijijini – wanataka mabadiliko. Wanataka elimu kwa wasichana, fursa za kazi kwa wanawake, na mustakabali bora kwa jamii nzima.
-
Kurefushwa kwa Muda wa Kutuma Kazi za Mkutano wa Kitaifa wa Swala hadi Septemba 31
Mwenyekiti wa Kamati ya Kisayansi ya Mkutano wa Kitaifa wa Kusimamisha Swala ametangaza kuwa muda wa kutuma kazi za utafiti na maandiko kwa ajili ya mkutano huo umeongezwa hadi tarehe 31 Septemba, kutokana na mwitikio mkubwa wa watafiti na washiriki.
-
Ulinganisho kati ya Maisha ya Seminari (Hawza) za Kiislamu na Maisha ya Vyuo Vikuu vya Kisekula (Kidunia).
Watu wengi wanatamani Maisha ya Hawza na wanachukua uamuzi wa kujiunga katika Seminari/ Hawza ili kupata Elimu na Maarifa yenye uwezo mkubwa wa kumuongoza Mwanadamu na hatimaye kuchukua kikamilifu mtindo wa Maisha ya Hawza.