gharama
-
Sayyid Abdul-Malik al-Houthi: Uhalifu wa utawala wa Kizayuni unafanywa kwa msaada wa Marekani na kimya pamoja na kutochukua hatua kwa Waarabu
Mtazamo wa wazi wa Marekani inapozungumzia mabadiliko ya Mashariki ya Kati ni kubadilisha hali ya eneo hilo kwa manufaa ya adui wa Kizayuni kwa gharama ya uhuru, kujitegemea, heshima, dini na haki za mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.
-
Ayatollah Ramadhani:
Arubaini ni miongoni mwa matukio muhimu sana yanayotoa mazingira ya ustawi, ukomavu, na maandalizi ya pamoja kwa ajili ya kudhihiri Imam Mahdi(atfs)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Gharama ya kujisalimisha ni kupoteza utambulisho wa kitaifa, utambulisho wa kidini, utambulisho wa kibinafsi, na hata utu wa kibinadamu. Mwanadamu, hata akilipa gharama ya kusimama imara (kupinga), ni bora kuliko kulipa gharama ya kujisalimisha.
-
Al-Bukhaiti: "Vita imeingia katika awamu mpya na wavamizi watalipa gharama kubwa"
Mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ametangaza kuwa shambulio dhidi ya kikao cha Serikali ya Yemen huko Sana'a lilivuka mistari miekundu na kwamba vita imeingia katika awamu mpya.
-
Marekani Yazindua Droni ya LUCAS ikiiga moja kwa moja Droni ya Shahed-136 ya Iran
Fikra hii ya kutengeneza Droni ya LUCAS imetokana na mshangao mkubwa ilioupata Marekani kutoka kwenye Droni Shahid - 136 ya Iran na uwezo wake katika Uwanja wa Kivita, kiasi kwamba Marekani ikaona Iran imepiga hatua kubwa katika masuala ya teknolojia ya Kuzalisha zana za Kivita na za gharama nafuu. Hilo liliifanya Marekani kuwaza kukopi Droni hiyo ya Iran hatimaye kuja na Droni yao waliyoiita LUCAS.
-
Rais wa Israel: Tumelipa gharama kubwa katika vita na Iran - Hatujapata Ushindi wowote
"Tel Aviv imelipa gharama kubwa mno katika damu ya wakaazi (walowezi wa kizayuni) wa maeneo ya Israel (bali ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel) katika vita na Iran".