ibada
-
Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum Atoa Nasaha za Eid al-Adha na Hijja: Ibada Ifanywe kwa Ikhlasi na Si Kujionesha Mitandaoni
Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum amesisitiza umuhimu wa uelewa sahihi wa ibada za Eid al-Adha na Hijja. Ameeleza kuwa kondoo ni mnyama bora zaidi kwa kuchinjwa katika Eid al-Adha endapo anapatikana, na hata nyama yake ni bora zaidi Bali Kondoo Ndiye asili ya ibada hiyo. Kuhusu Hijja, amebainisha kuwa ni ibada ya kuitikia wito wa Mwenyezi Mungu kupitia Nabii Ibrahim (as), na huleta utakaso wa dhambi kwa mja. Ameonya baadhi ya mahujaji kukosa maandalizi ya kiroho na kurejea katika dhambi baada ya Hijja. Ameikosoa tabia ya kutumia ibada ya Hijja kwa kujionesha mitandaoni kupitia Picha za “selfie”, akisisitiza kuwa ibada ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu pekee. Amemalizia kwa kusisitiza msingi wa ikhlasi na kuepuka riyaa katika ibada zote.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
“Silaha ya Allahu Akbar” italeta uamsho wa Umma wa Kiislamu"
Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa msimu wa Hijja ya mwaka 1447 Hijria, Ayatollah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei amesisitiza kuwa kauli ya “Allahu Akbar” imekuwa silaha ya msingi ya Umma wa Kiislamu katika kupambana na dhulma na ubeberu. Ameeleza kuwa uamsho wa Kiislamu utaendelea kuenea duniani kupitia mshikamano wa Waislamu, huku akisisitiza umuhimu wa kujitenga na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni katika nyanja za kisiasa na kijamii.
-
Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku: Ni Ibada mbili zinazokamilishana na ni Njia Mbili za Kuimarisha Uimara wa Kiroho
Sala ya Jamaa na Sala ya Usiku ni ibada zinazokamilishana; anayeshikamana na moja huimarika katika nyingine, na zote mbili ni njia muhimu ya kujenga taqwa na ukaribu kwa Mwenyezi Mungu.
-
Sehemu ya Tatu:
Khutba ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika kukaribia Mwezi wa Ramadhani - Sehemu ya Khutba ya Sha‘baniyyah
Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, dua za waumini hupokelewa haraka. Ni wakati wa kuomba kwa moyo safi na nia thabiti, hasa kuomba Mwenyezi Mungu atupatie neema ya kufunga Ramadhani na kusoma Qur’ani. Huu ni mwaliko wa kiroho wa kujijenga, kujisafisha na kuimarisha uhusiano wetu na Mwenyezi Mungu.
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum: Swaumu ya Ramadhan si adhabu, bali ni Tiba ya Kiroho na Kimwili
Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum anafafanua kuwa swaumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhan si adhabu, bali ni ibada iliyojaa huruma ya Mwenyezi Mungu. Kufunga kunalenga kutuponya kiroho na kimwili, kuimarisha nafsi, na kutufundisha subira, kama ambavyo Daktari (Tabibu) humlazimisha mgonjwa kunywa dawa chungu, lakini sio kwa lengo la kumuadhibu, bali ili apone. Swaumu ni fursa ya kujenga uhusiano thabiti baina ya Mja na Mola wake (swt) na kupata manufaa mapana katika maisha yetu.
-
Katibu Mkuu wa Ansar Allah Yemen: Nyaraka za Jeffrey Epstein zimefichua chimbuko la Uzayuni
Katibu Mkuu wa Ansar Allah, Abdul-Malik al-Houthi, adai nyaraka za kesi ya Jeffrey Epstein zimefichua mtandao mpana wa uhalifu na kutoa madai kuhusu chimbuko la Uzayuni, akisisitiza umuhimu wa kuzichunguza kwa kina.
-
Ibada za Umrah:
Hatua 4 za Ibada Tukufu ya Umrah
Mwongozo wa Hatua kwa Hatua za Kukamilisha Umrah kwa Imani na Utulivu.
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Kazi yako ni ibada yako ya kila siku
Je, unafikiri kufanya kazi ni njia tu ya kupata pesa? Hapana! Kulingana na Qur’ani, kazi ni ibada ya kijamii inayokuza uchumi wako na kukuza utu wako pia. Hebu tuchunguze kanuni kadhaa na muhimu kwa pamoja ili kazi yako iwe yenye baraka daima!
-
Zaidi ya Mahujaji 5,000 wa Umrah Wamewasili Nchini Saudi Arabia
Shirika la Hija na Ziara nchini Iran limetangaza kuwa idadi ya mahujaji wa Umrah waliopelekwa katika ardhi takatifu tangu kuanza kwa msimu wa Umrah wa mwaka 1445 Hijria (sawa na 1404 kwa kalenda ya Iran), kuanzia tarehe 1 Shahrivar, imefikia zaidi ya watu 5,000.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa
Imam ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa na miongoni mwa fahari za nchi yetu, na ana sifa na tofauti na viongozi wengine wa kitaifa ambazo zinaonyesha ubora wake juu ya wengine.