Swala ya jamaa ni mkusanyiko wa kifahari zaidi, bora zaidi, safi zaidi, na wa kiroho zaidi duniani. Kwa sababu hiyo, ina fadhila na thawabu nyingi. Kwa kila hatua anayopiga mtu kuelekea swala ya jamaa, huandikiwa thawabu na wema. Na iwapo idadi ya waswaliji itazidi watu kumi, basi hakuna ajuaye kiwango cha thawabu isipokuwa Mwenyezi Mungu tu.
Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa katika saa 24 zilizopita watu wengine watatu wamepoteza maisha yao kutokana na njaa na ukosefu wa chakula.
Haramu Takatifu ya Abbas imebashiri kuwa idadi ya mahujaji watakaoingia katika mkoa wa Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arbaeen mwaka huu itaongezeka ikilinganishwa na mwaka uliopita.