maana

  • Trump: Lazima tufanye uamuzi mkubwa kuhusu Iran

    Trump: Lazima tufanye uamuzi mkubwa kuhusu Iran

    Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Washington inapaswa kuchukua “uamuzi mkubwa” kuhusu Iran, akieleza kuwa hatua hiyo si rahisi. Kwa mujibu wa ISNA, Trump alidai kuwa Iran imehusika na mauaji katika kipindi cha miaka 47 iliyopita na kusisitiza kuwa makubaliano yoyote yanapaswa kuwa yenye maana, huku akisema angependelea suluhu ya amani.

  • Osama Hamdan: Kuzungumzia kukabidhi silaha za Muqawama ni jambo lisilo na maana

    Osama Hamdan: Kuzungumzia kukabidhi silaha za Muqawama ni jambo lisilo na maana

    Katika mwendelezo wa matamko yanayofichua malengo ya kweli ya utawala wa Kizayuni wa Israel, mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Hamas, Osama Hamdan, amesisitiza kuwa mazungumzo kuhusu kukabidhi silaha za Muqawama hayana msingi wowote. Ameeleza kuwa wakati Israel inakiuka ahadi zake zote, lengo lake kuu linaendelea kuwa ni kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.

  • Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra

    Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra

    Aya hii tukufu inathibitisha kuwa sa‘yi baina ya Safa na Marwa ni sehemu muhimu ya ibada ya Hija na Umra, na kwamba hakuna dhambi wala lawama katika kuitekeleza. Kinyume chake, ni ibada iliyoidhinishwa na Qur’ani na kusisitizwa na Sunna ya Mtume ﷺ, na aya imekuja mahsusi kuondoa shaka na uzito uliokuwepo katika nyoyo za watu kuhusu ibada hii.

  • Je, Taurati imebadilishwa? Angalia jibu la Qur’an hapa!

    Je, Taurati imebadilishwa? Angalia jibu la Qur’an hapa!

    Kuhusu taarifa (maelezo) ya Qur’an Tukufu kuhusu ubadilishaji wa maneno ya Taurati, kuna mjadala wa kiitihadi kama ifuatavyo: 1. Mtazamo maarufu (ushahidi unaoonekana wazi kabisa katika Quran) Watafiti wengi na wafuasi wa mtazamo huu wanaona kwamba Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maneno kwa uwazi jabisa. Qur’an inataja maneno yaliyopinduliwa au kuharibiwa na baadhi ya Watu wa Kitabu (Ahlul-kita'bi): «يُحَرِّفُونَ الْكَلِمَ عَن مَوَاضِعِهِ» (An-Nisa 46) Hapa (kwa mujibu wa Aya hiyo Tukufu) , ubadilishaji huo unahusiana na maneno yenyewe, na si tafsiri tu. 2. Mtazamo wa wapinzani (Mukhalifuna) Wao wanasema kuwa Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maana, si maneno ya kifasihi: Wanasema kuwa maneno ya msingi hayajabadilishwa, lakini maana au tafsiri potofu ndizo zilizobadilishwa au kutumika vibaya. Hii inaitwa ubadilishaji wa maana (tafsiri) badala ya ubadilishaji wa maneno.

  • Darsa Fupi na Muhimu Katika Muktadha wa Maombolezo ya Bibi Fatimah az-Zahra (a.s) kuhusu "Fadhila na Siri za Tasbihat az-Zahra (a.s) na Ayatul Kursi"

    Darsa Fupi na Muhimu Katika Muktadha wa Maombolezo ya Bibi Fatimah az-Zahra (a.s) kuhusu "Fadhila na Siri za Tasbihat az-Zahra (a.s) na Ayatul Kursi"

    Imam al-Baqir (a.s.) amesema: “Anayesema Tasbih ya Fatimah az-Zahra (a.s.) kisha akaomba maghfirah, atasamehewa. (Tasbih hiyo inaposomwa na mja) Ni mia moja kwa ulimi wake, lakini ni elfu moja katika mizani.”

  • Sheikh Abdul Ghani Khatibu | Maisha bila Malengo, ni Maisha yasokuwa na maana

    Sheikh Abdul Ghani Khatibu | Maisha bila Malengo, ni Maisha yasokuwa na maana

    Tukumbuke, maisha haya ni safari. Safari bila ramani hupotea. Weka malengo yako, yashike kwa mikono miwili, na muombe Allah akukadirie kheri na mafanikio ndani yake.