madai
-
Iran Yahoji Madai ya Marekani: Ikiwa Shambulio la Beirut Lingesimamishwa kwa Simu Moja, Kwa Nini Mashambulizi Yaliendelea kwa Miezi Kadhaa?
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amehoji madai ya Rais wa Marekani kuhusu kuzuia shambulio dhidi ya Beirut kwa simu moja, akisema kuwa ikiwa hilo linawezekana, basi ni lazima ielezwe kwa nini mashambulizi dhidi ya Lebanon, ukiukaji wa usitishaji mapigano na vitisho kwa mamlaka ya taifa hilo viliendelea kwa miezi kadhaa huku vikifurahia uungaji mkono wa kisiasa na kijeshi kutoka kwa baadhi ya nchi za Magharibi.
-
Trump Adai Marekani na China Zina Uwezo wa Kushughulikia Urani Iliyoboreshwa ya Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa nyenzo za urani iliyoboreshwa za Iran zilizohifadhiwa chini ya ardhi zinaweza kutolewa na kushughulikiwa kwa uratibu wa Iran na IAEA, jambo lililozua mjadala mpya kuhusu mustakabali wa mpango wa nyuklia wa Tehran
-
Usijivune kwa Maneno Maneno na Kujiona Mwenye Fadhila | Ibada na Jema lolote bila Unyenyekevu, ni Njia ya kupoteza kila Kheri
Baadhi ya Mabedui walikuwa wakimfanyia Mtume (s.a.w.a) madai ya fadhila kwa kusilimu kwao, kama Qur’ani inavyosema: “Wanakuonea fadhila kwa kusilimu kwao.” Basi Qur’ani ikawafunza adabu kwa kusema: “Sema: Msinionee fadhila kwa Uislamu wenu; bali Allah ndiye anayekuoneeni fadhila kwa kuwaongoza kwenye imani, ikiwa nyinyi ni wakweli.” (Al-Hujurāt: 17).
-
“Barna”, mgombea madhubuti wa kuchukua nafasi ya Benjamin Netanyahu
Kwa mujibu wa madai ya tovuti moja ya Kizayuni, vyanzo vya kisiasa nchini Israel vinamtaja David Barna, mkuu wa Mossad, kama mmoja wa wagombea wakuu wa kumrithi Benjamin Netanyahu.
-
Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran
Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba: “Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban: Mazungumzo na Pakistan Yameshindikana kwa Sababu ya Masharti Yasiyo na Mantiki ya Islamabad
Muttaqi alionya kuwa iwapo Pakistan itajaribu kuivamia Afghanistan, basi “dhima ya matokeo yote itakuwa juu ya mvamizi.”
-
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq:
Hatukuruhusu wala hatutaruhusu anga ya Baghdad itumike dhidi ya Iran
Ali Larijani: “Hatukuruhusu, wala hatutaruhusu anga ya Baghdad au mipaka ya Iraq itumike dhidi ya Iran. Hatupaswi kuruhusu upande wowote kuvuruga usalama wa eneo hili.”