mazishi
-
Rais wa Iran Dkt.Pezeshkian: "Tumejifunza kutoka kwa Hussein bin Ali (AS) namna ya Kutonyenyekea, Kutokuwa dhalili na kusujudia dhulma"
Rais wa Iran amesisitiza: Tumejifunza kutoka kwa Imam Hussein ibn Ali (AS) kutonyenyekea, kutojidhalilisha na kutosujudia dhulma.
-
Tangazo kutoka kwa Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu:
Marasimu ya Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi wa Walinzi na Watetezi wa ngazi za juu wa Iran ya Kiislamu itafanyika
Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba, hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu ambao ni walinzi na watetezi wa Iran ya Kiislamu itafanyika Siku ya Jumanne, tarehe 17 Juni, 2025, saa 8:00 Asubuhi katika Medani ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Tehran.
-
Salam za Rambirambi:
Wasifu na salam za rambirambi kutoka kwa Masheikh na Taasisi mbalimbali katika Mazishi ya Marhuma Fatima Ali Mwiru
"Nimemfahamu Fatima Mwiru zaidi ya Miaka 20 iliyopita katika Harakati mbali mbali za Kidini".
-
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajiun:
Na Mwisho Mwema ni wa Wale Wamchao Mwenyezi Mungu
Marhuma, Ukthti Fatima Mwiru, Miaka yote mpaka mwisho wa Uhai wake, alikuwa mstari wa mbele katika utumishi bora uliotuka wa kuhudumia Uislamu na Waislamu, na alikuwa ni Kinara Mtetezi wa Haki za Wanyonge na Wadhulumiwa wa Palestina, kwa kupaza Sauti yake katika Jamii ya Wanawake na Watu wote katika kuungana na Wanawake na Watoto wa Palestina wanaokumbana na Mauaji ya Kimbari ya Utawala Haram wa Kizayuni.