mfano
-
Mafunzo kutoka katika Maisha ya Bibi Fatima Zahra (a.s) kwa Ajili ya Kujenga Utulivu katika Familia +
Hadithi ya Mgawanyo wa Majukumu kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima Zahra (s.a) Hadithi inayosimulia jinsi Mtume Mtukufu (s.a.w.w) alivyogawa majukumu ya kifamilia kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima (a.s) ni mfano wa hekima katika ujenzi wa familia ya Kiislamu.
-
Bibi Zahra (a.s): Kielelezo cha Juu cha Maadili ya Kibinadamu na Kiislamu Kuhusu Mwanamke
Bibi Zahra (a.s) ni kielelezo cha Mwanamke kamili katika Uislamu - mfano wa ucha Mungu, hekima, upendo wa kifamilia, ushujaa wa kijamii na mapambano ya kiroho. Maisha yake ni dira ya kudumu kwa wanawake na wanaume wote wanaotaka kufikia ukamilifu wa kibinadamu katika njia ya Mwenyezi Mungu.
-
Siri iliyofichuliwa na wafungwa wa Palestina kutoka katika gereza la Israel kuhusiana na wafungwa waliopotea wa Lebanon
Baadhi ya waliokuwa huru wamesema kuwa walikutana na Walebanon waliokuwa wameorodheshwa awali kama waliopotea katika magereza ya Ofer, Nafha, Ramla, na Ashkelon.
-
Jinsi ya Kusafisha Akili (Kufanya “Usafi wa Nyumba” wa Akili)
Katika maisha ya kila siku, akili zetu mara nyingi hujaa mawazo hasi, wasiwasi, kumbukumbu chungu, na uzoefu usio na manufaa tena. Kama tunavyofanya usafi wa nyumba wakati wa sikukuu ya Nowruz, vivyo hivyo tunapaswa kufanya “usafi wa akili” zetu pia.
-
Naibu wa Ofisi ya Tablighi ya Hawza ya Qom amesema kuwa:
“Utetezi Mtakatifu (Kujihami Kutakatifu - Sacred Defence) ni chuo cha malezi na hazina ya kitamaduni”
Hujjatul-Islam Rousta Azad amesema: Kongamano la “Muballighina Mujahid” likiambatana na kumbukumbu ya kuwatunukia mfano bora wa jihadi na tabligh, litafanyika siku ya Jumatano, tarehe 9 Mehr, kuanzia saa 3 asubuhi, kwa kuhudhuriwa na kundi muhimu la makamanda na mashahidi hai wa Vita vya Utetezi Mtakatifu, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Ghadir, Ofisi ya Tablighi ya Kiislamu.
-
Profesa kutoka Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jina la Nasrallah limehusishwa na usalama na uaminifu / Silaha za Hezbollah zitaendelea kuwa sehemu ya mlingano wa Lebanon na eneo la kikanda
Yeye (Sayyid Hassan Nasrallah) alihesabiwa kuwa alama ya heshima na mapambano kwa wote, na alikuwa mfano wa malengo ya sehemu kubwa ya wapiganaji wa muqawama wa Kishia ambao kwa vitendo walitaka kufikia mamlaka, uhuru, na kujitegemea kwa Lebanon.