mfano
-
Ayatollah Khatami: Trump na Netanyahu Hawatakuwa na Usingizi wa Amani
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu ya Qom amesema kuwa ibada za mazishi ya Kiongozi aliyefariki akiwa shahidi katika maeneo mbalimbali ya nchi zimegeuka kuwa jukwaa la umoja, mshikamano na kuhuisha ahadi ya utii kwa Mapinduzi ya Kiislamu. Amesisitiza kwamba: “Trump na Netanyahu hawatakuwa na usingizi wa amani.”
-
Sheikh Isa Qassim: Kiongozi Shahidi alisimama kwa ajili ya Uislamu, Umma na ubinadamu
Mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Ahmad Qassim, amesema kuwa Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei alijitolea maisha yake kwa ajili ya Uislamu, Umma wa Kiislamu na ubinadamu, huku akieleza kuwa urithi wake utaendelea kuongoza njia ya Muqawama na umoja wa Waislamu.
-
Muharram 1448H: Wanafunzi Mabinti wa Jamiatul Mustafa Washiriki Majlisi ya Maombolezo katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS), Magomeni
Wanafunzi 144 wa Jamiatul Mustafa, wakiongozana na msimamizi wao, walishiriki majlisi ya maombolezo ya Muharram katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS) uliopo Mgomeni, Dar es Salaam. Majlisi hiyo ilijumuisha muhadhara wa Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Aydarus, kisomo cha Qur'ani Tukufu na maombolezo ya Imam Hussein (AS), ikiwa ni sehemu ya kuhuisha ujumbe wa Karbala wa haki, uadilifu na kujitolea katika njia ya Mwenyezi Mungu.
-
Iran yaadhimisha Siku ya Mwanamke na Siku ya Mama sambamba na kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (a.s)
Iran ikiadhimisha kumbukumbu hii tukufu, siku hii hubakia kuwa ukumbusho wa nafasi ya milele ya Bibi Fatima Zahra (a.s) katika nyoyo za Waislamu na nafasi yake kama taa ya uongofu, heshima na ukamilifu wa kiroho.
-
Nafasi ya Kupuuzia Mambo ya Kimaada na Thamani za Uongo katika Ndoa
Ndoa ya Bibi Fatima (a.s) na Amirul-Mu’minin Ali (a.s) ni kigezo cha pekee kinachoonyesha jinsi ambavyo mambo ya kimaada na thamani za uongo yalipuuzwa kabisa. Uteuzi wa mwenzi wa maisha ulitokana na taqwa, imani na maadili, si utajiri wala muonekano wa nje. Kwa kuishi kwa urahisi, unyenyekevu na mbali na anasa, walijenga nyumba iliyojaa utulivu, baraka na uimara wa kiroho. Mtindo huu wa maisha unatupa ujumbe wazi: ukombozi kutoka katika pupa ya mali na mapambo ndiyo njia ya kufikia furaha ya kweli katika maisha ya ndoa.
-
Mafunzo kutoka katika Maisha ya Bibi Fatima Zahra (a.s) kwa Ajili ya Kujenga Utulivu katika Familia +
Hadithi ya Mgawanyo wa Majukumu kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima Zahra (s.a) Hadithi inayosimulia jinsi Mtume Mtukufu (s.a.w.w) alivyogawa majukumu ya kifamilia kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima (a.s) ni mfano wa hekima katika ujenzi wa familia ya Kiislamu.
-
Bibi Zahra (a.s): Kielelezo cha Juu cha Maadili ya Kibinadamu na Kiislamu Kuhusu Mwanamke
Bibi Zahra (a.s) ni kielelezo cha Mwanamke kamili katika Uislamu - mfano wa ucha Mungu, hekima, upendo wa kifamilia, ushujaa wa kijamii na mapambano ya kiroho. Maisha yake ni dira ya kudumu kwa wanawake na wanaume wote wanaotaka kufikia ukamilifu wa kibinadamu katika njia ya Mwenyezi Mungu.
-
Siri iliyofichuliwa na wafungwa wa Palestina kutoka katika gereza la Israel kuhusiana na wafungwa waliopotea wa Lebanon
Baadhi ya waliokuwa huru wamesema kuwa walikutana na Walebanon waliokuwa wameorodheshwa awali kama waliopotea katika magereza ya Ofer, Nafha, Ramla, na Ashkelon.
-
Jinsi ya Kusafisha Akili (Kufanya “Usafi wa Nyumba” wa Akili)
Katika maisha ya kila siku, akili zetu mara nyingi hujaa mawazo hasi, wasiwasi, kumbukumbu chungu, na uzoefu usio na manufaa tena. Kama tunavyofanya usafi wa nyumba wakati wa sikukuu ya Nowruz, vivyo hivyo tunapaswa kufanya “usafi wa akili” zetu pia.
-
Naibu wa Ofisi ya Tablighi ya Hawza ya Qom amesema kuwa:
“Utetezi Mtakatifu (Kujihami Kutakatifu - Sacred Defence) ni chuo cha malezi na hazina ya kitamaduni”
Hujjatul-Islam Rousta Azad amesema: Kongamano la “Muballighina Mujahid” likiambatana na kumbukumbu ya kuwatunukia mfano bora wa jihadi na tabligh, litafanyika siku ya Jumatano, tarehe 9 Mehr, kuanzia saa 3 asubuhi, kwa kuhudhuriwa na kundi muhimu la makamanda na mashahidi hai wa Vita vya Utetezi Mtakatifu, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Ghadir, Ofisi ya Tablighi ya Kiislamu.
-
Profesa kutoka Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jina la Nasrallah limehusishwa na usalama na uaminifu / Silaha za Hezbollah zitaendelea kuwa sehemu ya mlingano wa Lebanon na eneo la kikanda
Yeye (Sayyid Hassan Nasrallah) alihesabiwa kuwa alama ya heshima na mapambano kwa wote, na alikuwa mfano wa malengo ya sehemu kubwa ya wapiganaji wa muqawama wa Kishia ambao kwa vitendo walitaka kufikia mamlaka, uhuru, na kujitegemea kwa Lebanon.