migogoro
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel
-
Uongo wa Trump kuhusu kushambulia vinu vya Nyuklia vya Iran ni Mbinu za Propaganda. Zijue mbinu hizo na jinsi zinavyotumika, hasa katika siasa
Kutumia hofu au hisia kali Kujenga hofu, hasira, au mshangao kwa ujumbe fulani kunasaidia kuimarisha ujumbe na kuufanya uonekane wa dharura au muhimu.
-
Onyo kutoka kwa “American Conservative”: Trump anapaswa kujiepusha na uchochezi wa vita na kuzingatia diplomasia
Jarida la kihafidhina la Marekani The American Conservative limetoa onyo kwa Donald Trump, mgombea wa Urais wa Marekani mwaka 2024, likimtaka aepuke sera za kichochezi na vita, na badala yake aweke mkazo kwenye diplomasia kama njia bora ya kulinda maslahi ya Marekani. Kwa mujibu wa jarida hilo, kuendelea na mwelekeo wa kijeshi na mivutano ya kimataifa hakutasaidia Marekani, bali kutazidisha matatizo ya kiuchumi na kisiasa, na kuathiri nafasi ya taifa hilo katika uongozi wa dunia.
-
Ayatollah Khamenei: Umoja wa Mataifa ya Kiislamu Ndiyo Njia Pekee ya Kudumisha Usalama wa Umma
Msimamo wa Pakistan kuhusu suala la Palestina umekuwa wa kupongezwa sana. Wakati daima kumekuwa na vishawishi kwa nchi za Kiislamu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, Pakistan haijawahi kushawishika na vishawishi hivyo.