njama
-
Kiongozi jasiri na taifa imara la Iran vitashinda njama za Marekani
Hassan Fadlallah, mwakilishi wa Hezbollah katika Bunge la Lebanon, amesema kuwa kiongozi jasiri na taifa imara la Iran watafanikiwa kushinda njama za Marekani. Amesisitiza pia kuwa uchaguzi wa Bunge la Lebanon utafanyika kwa wakati wake wa kisheria bila kuahirishwa, na kwamba juhudi zozote za nje za kuingilia mchakato huo hazitafanikiwa.
-
Baghdad yafuatilia kuongezeka kwa uwepo wa ISIS
Wasiwasi wa kiusalama nchini Iraq kuhusu shughuli za ISIS mpakani na Syria umeongezeka, licha ya hatua kali za kiusalama, huku kukiwa na maonyo ya kiintelijensia na ongezeko la tahadhari.
-
Jeshi la Iran:
"Majibu ya Iran yatakuwa makali zaidi iwapo adui atafanya kosa”
Jeshi Kuu la Iran lilibainisha kuwa katika tukio la kosa la kimahesabu kutoka kwa adui, kile kilichozuia operesheni kubwa wakati wa vita vya siku 12 vilivyopita hakitarudiwa tena.
-
Mwanamke Mmoja akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumuua Netanyahu
Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.