tishio
-
Iran Yaionya Marekani, Yakataa Kurudi Kwenye Mazungumzo Huku Mawasiliano Kupitia Wapatanishi Yakiendelea
Mshauri wa kijeshi wa Kiongozi Mkuu wa Iran amesema Marekani itawajibishwa iwapo kutakuwa na tishio lolote dhidi ya Iran, huku ripoti zikieleza kuwa Tehran imekataa kurejea kwenye mazungumzo ya moja kwa moja, ingawa mawasiliano kupitia wapatanishi bado yanaendelea.
-
CNN: Trump Ametishia au Kushambulia Taifa Moja Kati ya Kila Mataifa 13 Duniani
Ripoti ya CNN imesema matamshi ya Donald Trump kuhusu kuitishia Oman kwa mashambulizi yameongeza wasiwasi wa kimataifa kuhusu matumizi ya vitisho vya kijeshi katika sera za nje za Marekani na athari zake kwa usalama wa dunia.
-
Mwanasayansi wa Nyuklia wa Lebanon katika mazungumzo na ABNA:
Kuangamiza mpango wa nyuklia wa Iran ni ndoto / Tishio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran lina gharama kubwa kuliko uwezo wa Washington
Mkuu wa Kituo cha Ushauri wa Kimkakati cha Usalama wa Nishati ya Nyuklia nchini Lebanon amesisitiza kuwa Marekani—hasa katika kipindi cha Donald Trump—haina nia ya kuingia katika vita hatari dhidi ya Iran, huku Israel ikijaribu kuibebesha Washington mzigo wa gharama za makabiliano hayo.
-
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kujadili na kukabiliana na mradi wa Israel kuhusu Somalia
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, katika mkutano wa dharura uliofanyika leo Jumapili nchini Misri, imeitikia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulitambua eneo la Somaliland, na ikaeleza kuwa hatua hiyo ni tishio kwa usalama wa kikanda na ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Turki Al-Faisal: Tishio Kuu la Mashariki ya Kati Sio Iran, Bali ni Israel
Shambulizi Dhidi ya Ujumbe wa Hamas Qatar ni Onyo kwa Nchi za Ghuba | Katika kauli yake nzito, Turki Al-Faisal pia amebainisha kuwa shambulizi la Israel dhidi ya ujumbe wa Hamas nchini Qatar lilikuwa ujumbe wa vitisho kwa nchi za Ghuba, akisema hatua hiyo ilikuwa onyo la wazi kuwa mataifa ya Ghuba yako katika hatari na yanapaswa kuchukua tahadhari za pamoja za kiulinzi.
-
Iran: Kukabiliana na ugaidi kunahitaji ushirikiano wa kikanda, hasa na Afghanistan
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran alitangaza kuwa makundi ya kigaidi hayapo tu nchini Afghanistan, bali yameenea katika nchi mbalimbali za eneo hilo. Alisisitiza kuwa kukabiliana na tishio hili kunahitaji ushirikiano wa pamoja wa nchi jirani, hasa Afghanistan.
-
Abdulmalik al-Houthi: Mpango wa Kuvinyang’anya Silaha Vikundi vya Muqawama ni wa Kipuuzi na Unahudumia Maadui
“Lau Umma wa Kiislamu ungetilia mkazo tangu mwanzo juu ya ujenzi wa jeshi la Kipalestina lenye nguvu, hali ya leo isingekuwa kama ilivyo.”