Takribani robo ya majeruhi wa mashambulizi ya Israel wamepata ulemavu wa kudumu, na upatikanaji wa huduma na rasilimali katika eneo hilo bado ni mdogo sana.
Shambulio hili lilitokea wakati wa kiongozi akiongoza maandamano ya kupinga ujenzi haramu kwenye ardhi ya wakfu ya Karbala Abbas-Bagh, na katika uwepo wa maafisa wa Polisi.
"Kinyume na matarajio ya Wazayuni na waungaji mkono wao, jinai hizi hazitaweza kudhoofisha irada ya mapambano ya wananchi wa Yemen, bali damu ya mashahidi hawa watukufu itachochea zaidi hasira na mwamko wa upinzani dhidi ya ukoloni na utawala wa Kizayuni kote katika eneo".