Main Title

source :
Ijumaa

29 Machi 2024

13:54:03
1447627

Watu 38 wauawa katika hujuma za anga za Israel Syria, Iran yalaani

Kwa akali watu 38 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mji wa Aleppo (Halab) huko kaskazini mwa Syria.

source :
Ijumaa

29 Machi 2024

13:53:03
1447626

HAMAS: Misimamo ya Israel imekwamisha mazungumzo ya Doha

Mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema mazungumzo ya kusimamisha vita katika Ukanda wa Gaza yamegonga mwamba huko Doha, mji mkuu wa Qatar kutokana na misimamo isiyoeleweka ya utawala haramu wa Israel.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:52:31
1447464

Ireland 'kuingilia kati' kesi ya mauaji ya kimbari ya Afrika Kusini dhidi ya Israel

Ireland imetangaza kwamba "itaingilia" katika kesi ya mauaji ya kimbari iliyoanzishwa mwishoni mwa mwaka jana na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala wa Israel, kutokana na vita vya miezi kadhaa vya mauaji ya halaiki kwenye Ukanda wa Gaza.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:51:56
1447463

Ripota wa UN: Nilitishwa kwa sababu ya ripoti yangu kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina, Francesca Albanese, amesema kuwa amekuwa akikabiliwa na mashambulizi na kupokea vitisho vingi tangu alipoanza kazi yake ya kuandaa ripoti kuhusu jinai zinazofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:50:53
1447462

Kaboni nyeusi; sio tu inachafua mazingira, lakini pia inasababisha ongezeko la joto duniani

Kaboni nyeusi imetajwa kusababisha ongezeko la joto kwa wati zisizopungua 0.6 kwa kila mita mraba moja katika uso wa dunia. Haya yamebainishwa na Mhadhiri wa masuala ya uhandisi wa mazingira katika Chuo Kikuu cha Istanbul Uturuki.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:50:01
1447461

Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake haina nia ya kuingia kwenye makabiliano ya kijeshi na vibaraka wa Marekani wa Ulaya Mashariki.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:49:23
1447460

UN: Khumsi moja ya chakula duniani inaishia jaani wakati watu milioni 783 wanalala na njaa

Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP imesema, wakati theluthi moja ya watu duniani wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula, milo bilioni moja, ambayo ni sawa na moja ya tano ya chakula chote hutupwa kila siku na kuishia jalalani.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:48:39
1447459

Wataalamu wa US: Mapigano ya Al-Shifa yanaonyesha wapiganaji Wapalestina wangali wako imara

Wataalamu wa masuala ya vita wa Marekani wamesema, wapiganaji wa Kipalestina wamefanya mashambulizi yapatayo 70 dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na hospitali ya al-Shifa katika mji wa Ghaza tangu Machi 18 wakati jeshi la utawala huo ghasibu liliporejea katika eneo hilo.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:47:39
1447458

Marekani yaiwekea vikwazo GAZA NOW kwa tuhuma za kuchangisha fedha za kuisaidia HAMAS

Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea vikwazo tovuti ya mtandao ya GAZA NOW kwa madai ya kuchangisha misaada ya kifedha kwan ajili ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:47:09
1447457

Rais wa Iran: Palestina sasa ni kadhia ya ulimwengu wa ubinadamu

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kutokana na muqawama au mapambano ya Kiislamu na misimamo imara ya wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Gaza, kadhia ya Palestina sasa imevuka mipaka ya ulimwengu wa Kiislamu na kuwa suala la ulimwengu wa ubinadamu.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:46:30
1447456

Msisitizo wa Iran juu ya haki yake katika medani ya gesi ya Arash

Naibu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Sheria, Mohammed Dehghan, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitafumbia jicho kwa hali yoyote ile haki zake katika medani ya pamoja ya gesi ya Arash na haitaruhusu upande wowote kukiuka sheria za kimataifa katika suala hili.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:44:51
1447455

Marekani imeshindwa kukabiliana na jeshi la Yemen katika Bahari Nyekundu

Viongozi wa Marekani wamekiri kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na jeshi la Yemen katika Bahari ya Shamu. Hii ni kufuatia kuendelea makablinao ya Magharibi chini ya uongozi wa Marekani dhidi ya jeshi la Yemen katika Bahari Nyekundu.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:44:28
1447454

Subira ya kihistoria ya watu wa Ghaza, sababu kuu ya kufedheheka Israel duniani

Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwenye mazungumzo yake na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwamba, subira ya kihistoria na kusimama imara wananchi wa Ghaza mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni kumeifanya kadhia ya Palestina kuwa suala kuu nambari moja duniani.

source :
Alhamisi

28 Machi 2024

14:43:51
1447453

CAIR: UN ichunguze jeshi la Israel lilivyowaua Wapalestina bila sababu na kuzifukia maiti zao

Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani [CAIR] limetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchunguza video inayoonyesha wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakiwapiga risasi bila sababuu Wapalestina wawili wanaoonekana kuwa hawana silaha kisha kuzifukia maiti zao kwa buldoza.

source :
Jumatano

27 Machi 2024

13:47:14
1447205

Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema matamshi ya karibuni ya Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ni ungamo la Magharibi kwamba inajihusisha na mgogoro wa Ukraine ili kuisaidia Marekani kudumisha nafasi yake ya ubeberu duniani.

source :
Jumatano

27 Machi 2024

13:46:32
1447204

Soda ya 'Palestine Cola' yazinduliwa, mashirika ya Magharibi yaendelea kususiwa

Ndugu wawili wa Kipalestina wamezindua soda waliyoipa jina la 'Palestine Cola' na kusema kuwa, faida zote zitakazotokana na mauzo ya kinywaji hicho zitawaendea Wapalestina.

source :
Jumatano

27 Machi 2024

13:45:54
1447203

Ulimwengu waunga mkono ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel Ukanda wa Gaza

Tathmini iliyofanywa na Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Palestina ambayo imezitaja jinai za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza kuwa ni mauaji ya kimbari imeungwa mkono pakubwa na nchi mbalimbali katika umoja huo.

source :
Jumatano

27 Machi 2024

13:45:12
1447202

Kutolewa pendekezo la kuanzisha klabu ya nyuklia ya BRICS kwa kuishirikisha Iran

Mkutano wa 13 wa kimataifa wa Atomexpo 2024 huko Sirius, Russia umetoa pendekezo la kuasisi klabu ya nyuklia ya nchi wanachama wa kundi la BRICS kwa kuishirikisha Iran.

source :
Jumatano

27 Machi 2024

13:44:44
1447201

Wachunguzi wa Russia kujadili ombi la kuchunguza kuhusika Magharibi katika ugaidi

Wachunguzi wa serikali ya Russia leo wameeleza kuwa watajadili ombi lililowasilishwa na wabunge waliotaka kuchunguzwa kile walichokiita kama "taasisi, ufadhili na vitendo vya ugaidi vinavyofanywa na Marekani na nchi nyingine za Magharibi dhidi ya Russia."

source :
Jumatano

27 Machi 2024

13:44:10
1447200

"Siku ya Quds imebakisha hai kadhia ya Palestina"

Mkuu wa Makao Makuu ya Intifadha na Siku ya Quds ya Iran amesema maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yana umuhimu mkubwa katika kubakisha hai kadhia ya ukombozi wa Palestina.