ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Habari Pichani | Mkutano wa Wanazuoni na Wanafikra wa Kimataifa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Ahlul-Bayt(a.s) huko Karbala Tukufu – Sehemu 1

    Habari Pichani | Mkutano wa Wanazuoni na Wanafikra wa Kimataifa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Ahlul-Bayt(a.s) huko Karbala Tukufu – Sehemu 1

    Picha hizi katika tukio hili, zinaonyesha uhusiano wa karibu kati ya uongozi wa kimataifa wa Kiislamu na wanazuoni wa mataifa mbalimbali, hasa wakati huu wa ibada ya Arubaini inayokusanya mamilioni ya mahujaji (mazuwwari) kutoka pande zote za dunia.

    2025-08-18 12:21
  • Muhtasari wa kikao cha leo na Mh.Mufti - 17/08/2025 katika Hawza ya Imam Zaynul Aabidin (a.s), Burundi +Picha

    Muhtasari wa kikao cha leo na Mh.Mufti - 17/08/2025 katika Hawza ya Imam Zaynul Aabidin (a.s), Burundi +Picha

    Ushirikiano katika matukio makubwa. Kwa mfano, katika siku zijazo tutakuwa na tukio kubwa la kusherehekea Maulidi ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Sasa umefika wakati wa kuonyesha mshikamano wetu kwa ulimwengu mzima… Hivyo ushirikiano huu uendelee mpaka katika maandalizi ya sherehe ya Maulidi ya Mtume (s.a.w.w) ili kuimarisha umoja wetu.

    2025-08-18 12:09
  • Ushindi wa 2–1 wa Wanafunzi wa Al-Mustafa(s) - Dar-es-Salaam: Michezo, Umoja, na Maendeleo ya Kielimu kwa Pamoja

    Ushindi wa 2–1 wa Wanafunzi wa Al-Mustafa(s) - Dar-es-Salaam: Michezo, Umoja, na Maendeleo ya Kielimu kwa Pamoja

    2025-08-18 11:41
  • Sura iliyokonda na iliyozeeka ya kiongozi mpendwa wa Palestina baada ya miaka mingi gerezani + video

    Sura iliyokonda na iliyozeeka ya kiongozi mpendwa wa Palestina baada ya miaka mingi gerezani + video

    Kutolewa kwa video inayoonyesha Itamar Ben-Gvir, waziri wa Israel wa mrengo mkali wa kulia, akimdhihaki Marwan Barghouti gerezani, kumezua wimbi la hisia. Video hii, kwa mara ya kwanza katika miaka ya hivi karibuni, inaonyesha sura iliyokonda na iliyozeeka ya mfungwa maarufu wa Kipalestina.

    2025-08-17 11:34
  • Taifa Stars Yaandika Historia, Yaingia Robo Fainali CHAN 2024 Baada ya Kuifunga Madagascar 2–1

    Taifa Stars Yaandika Historia, Yaingia Robo Fainali CHAN 2024 Baada ya Kuifunga Madagascar 2–1

    Hongereni sana wachezaji, benchi la ufundi, na Watanzania wote kwa mafanikio haya makubwa.

    2025-08-10 07:06
  • Malawi + Afya Bora ni Sehemu ya Maisha ya Kiislamu-Michezo ni Afya | Ushindi wa Kifahari kwa Wahitimu wa Al-Hadi:5–1 Dhidi ya Wanafunzi wa Sasa +Picha

    Malawi + Afya Bora ni Sehemu ya Maisha ya Kiislamu-Michezo ni Afya | Ushindi wa Kifahari kwa Wahitimu wa Al-Hadi:5–1 Dhidi ya Wanafunzi wa Sasa +Picha

    Katika mtazamo wa Kiislamu, michezo ni njia halali ya kuimarisha mwili na kuendeleza undugu. Mtume Muhammad (s.a.w.w) alihimiza mazoezi ya mwili kama vile kurusha mishale, kupanda farasi, na kuogelea - ikiashiria kuwa afya bora ni sehemu ya maisha ya Kiislamu.

    2025-07-12 17:24
  • Michezo ni Afya | Rais wa Iran Dr. Masoud Pezeshkian, akishiriki katika mchezo wa soka kusherehekea Michango ya Wafanyakazi Kote Nchini + Picha

    Michezo ni Afya | Rais wa Iran Dr. Masoud Pezeshkian, akishiriki katika mchezo wa soka kusherehekea Michango ya Wafanyakazi Kote Nchini + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Rais wa Iran Dr. Masoud Pezeshkian alijitokeza Leo hii kwenye uwanja wa soka kabla ya kuadhimisha Wiki ya Wafanyakazi na kushiriki katika mchezo ulioshirikisha Timu ya Wafanyakazi na Timu ya Maveterani, akisherehekea michango ya Wafanyakazi kote nchini. ⚽️Michezo ni Afya.

    2025-04-25 21:34
  • Maha'tir Mohammad: Viongozi wa utawala wa Kizayuni wanastahili kunyongwa

    Maha'tir Mohammad: Viongozi wa utawala wa Kizayuni wanastahili kunyongwa

    Maha'tir Mohammad, Mwanasiasa mkongwe wa Malaysia, akijibu hukumu ya Mahakama ya "The Hague" dhidi ya viongozi wa utawala haram wa Kizayuni, alisema kuwa wanastahili wanyongwe.

    2024-11-25 14:38
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom