14 Mei 2025 - 00:12
Wanafunzi wa Hawza ya Imam Ridhwa (as) - Ikwiriri, Tanzania, wakiwa katika makundi yao wakifanya Mubahatha wa kielimu

Bila Mubahatha, elimu hupungua thamani yake na huweza hata kupotea katika akili ya mwanafunzi au mtu yeyote mwenye maarifa.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mubahatha ya kielimu ni nguzo muhimu katika kukuza na kudumisha elimu.

Elimu ya kweli haikamiliki kwa kusoma pekee; bali huimarika zaidi kupitia mijadala ya kielimu, utafiti wa kina, na kubadilishana maarifa baina ya wanafunzi.

Wanafunzi wa Hawza ya Imam Ridhwa (as) - Ikwiriri, Tanzania, wakiwa katika makundi yao wakifanya Mubahatha wa kielimu

Bila Mubahatha, elimu hupungua thamani yake na huweza hata kupotea katika akili ya mwanafunzi au mtu yeyote mwenye maarifa.

Wanafunzi wa Hawza ya Imam Ridhwa (as) - Ikwiriri, Tanzania, wakiwa katika makundi yao wakifanya Mubahatha wa kielimu

Hivyo basi, kusoma lazima kuambatane na Mubahatha na utafiti wa kina ili kuhakikisha elimu inadumu na kunawiri.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha