Maarifa
-
Bi Mujtahida Saffati: Vyuo vya kidini vya wanawake vinapaswa kuchukua uongozi wa kielimu wa wanawake katika ulimwengu wa Kiislamu
Profesa mashuhuri wa vyuo vya kidini vya wanawake, katika hafla ya uzinduzi wa mwaka mpya wa masomo, alivitaja “ikhlasi na uchamungu (taqwa)”, “kuungana na uongozi wa Kiislamu (wilaya)”, na “kuzingatia haki za wengine” kuwa ni nguzo tatu muhimu za mafanikio kwa wanafunzi wa fani za dini. Akaeleza kwa msisitizo kuwa: Taasisi za kielimu za wanawake zinapaswa kuchukua uongozi wa kielimu kwa wanawake wa ulimwengu wa Kiislamu, na kutumia uwezo huo kwa ajili ya kusambaza maarifa ya Kiislamu katika ulimwengu mzima wa Kiislamu.
-
Jamiat Al-Mustafa(s) - Dar-es-Salam | Kikao cha Kielimu: Nafasi ya Imam Hassan Askari(as) katika Kuhifadhi Madhehebu ya Shia Kuendeleza Njia ya Uimamu
Katika hotuba yake, aligusia mazingira ya kisiasa ya wakati huo, mbinu za kitaqiyya (kuficha imani kwa sababu za kiusalama), kulea wafuasi maalum, na juhudi za Imam katika kuimarisha misingi ya aqida ya Kishia.
-
Kuongezeka kwa Mapokezi ya Ziara za Ahlul-Bayt (a.s) Katika Dunia ya Shia Mwisho mwa Mwezi Safar
mwisho wa mwezi Safar ni kipindi cha kipekee cha ziara, kinachotoa fursa ya kiroho, maarifa na kijamii kwa waumini wa Shia, huku akinafunzi na wafuasi wakipata fursa ya kujifunza, kutenda na kuimarisha imani yao kwa Ahlul-Bayt (a.s).
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania | Jumamosi ya Bidii na Maarifa!
Tunawatakia Wanafunzi hawa kila la heri katika juhudi zao za kielimu!.
-
Utafiti wa Kielimu – Nguzo ya Elimu ya Kudumu - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salaam - Tanzania
Mubahatha na Utafiti wa Kielimu ni moyo wa Elimu ya Kiislamu. Kupitia mijadala ya kielimu, Wanafunzi hubadilishana maarifa, kufungua milango ya utafiti, na kuimarisha uelewa wa kina wa masomo yao. Ukweli ni kwamba: Elimu bila Mubahatha ni kama mwili bila roho. Hupotea taratibu, na haidumu katika fikra za Mwanafunzi.
-
Wanafunzi wa Hawza ya Imam Ridhwa (as) - Ikwiriri, Tanzania, wakiwa katika makundi yao wakifanya Mubahatha wa kielimu
Bila Mubahatha, elimu hupungua thamani yake na huweza hata kupotea katika akili ya mwanafunzi au mtu yeyote mwenye maarifa.
-
"Maarifa ya Nahjul Balagha (3) / Dua za Imam Ali (a.s)"
Hata ingawa seti ya dua zinazosimuliwa kutoka kwa Imam Ali (a.s) inafikia takriban dua 700, lakini kwa kuzingatia msisitizo wa Sayyid Razi katika kuchagua baadhi ya maneno ya Imam Ali (a.s) katika kitabu cha Nahjul Balagha, kuna takriban dua 50 zinazohusishwa na Amir al-Mu'minin (a.s) ambazo zinahusisha mada mbalimbali.
-
Jamii bora haihitajii watu ambao ni wasomi, bali inahitajia watu walioelimika | "Elimu bila Adabu ni sawa na Upanga Mkali Mikononi mwa Kichaa"
Msemo huu: "Elimika Usiwe Msomi" ni wito wa kuhusisha Elimu na Maadili. Elimu ya Kweli huonekana katika namna unavyowatendea wengine. Namna unavyofikiri kuhusu Haki na Uadilifu kwa kila Mwanadamu bila kujali Imani yake ya Kidini.
-
Mkutano wa Mufti wa Burundi na Mwakilishi wa Al-Mustafa (s) Nchini Tanzania + Picha
Mufti wa Burundi akutana na kuzungumza na Hojjatul Islam wal-Muslimin, Dr.Ali Taqavi Katika Ofisi ya Al-Mustafa (s) Dar -es- Salaam - Tanzania.
-
Al_Itarah Foundation | Inatambua thamani na uzito wa Elimu na Maarifa ya Qur'an Tukufu,na umuhimu wa Umoja na Mshikamano wa Kiislamu baina ya Waislamu
Zawadi ya Kiroho na muhimu katika fremu ya kutambua thamani na uzito wa Elimu na Maarifa ya Qur'an Tukufu, na umuhimu wa kuendeleza Umoja na Mshikamano wa Kiislamu baina ya Waislamu.
-
Mubahatha [Kudurusu kwa Pamoja] - Kwa wanafunzi na watafutaji elimu wote!
Ufahamu huwa na viwango tofauti tofauti, kwa malezi au asili. Wewe ambae ni Mwanafunzi katu usipuuze hichi kipengele cha majadiliano ya kielimu baada ya kupokea maarifa ya mada fulani kutoka kwa Mwalimu.
-
Ulinganisho kati ya Maisha ya Seminari (Hawza) za Kiislamu na Maisha ya Vyuo Vikuu vya Kisekula (Kidunia).
Watu wengi wanatamani Maisha ya Hawza na wanachukua uamuzi wa kujiunga katika Seminari/ Hawza ili kupata Elimu na Maarifa yenye uwezo mkubwa wa kumuongoza Mwanadamu na hatimaye kuchukua kikamilifu mtindo wa Maisha ya Hawza.
-
Tabligh - Tanzania:
Baadhi ya harakati za Kidini za Taasisi ya Kiislamu ya S.D.O - Bukoba, Tanzania
Kwa mtu yeyote, anayetaka thawabu na malipo mema toka kwa Allah (s.w.t), kupitia kusapoti na kusaidia Harakati hizi za Kidini za S.D.O Bukoba, Tanzania, basi anakaribishwa na mlango upo wazi.
-
Umuhimu wa Tabligh, Malengo na Mipango ya Jamiatul - Mustafa (S) nchini Tanzania
Jamiatul - Mustafa ipo tayari kusaidia na kushirikiana na wanaofanya kazi ya kufikisha Ujumbe, Elimu na Maarifa ya Ahlul_Bayt (a.s).