Elimu
-
Utafiti wa Kielimu – Nguzo ya Elimu ya Kudumu - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salaam - Tanzania
Mubahatha na Utafiti wa Kielimu ni moyo wa Elimu ya Kiislamu. Kupitia mijadala ya kielimu, Wanafunzi hubadilishana maarifa, kufungua milango ya utafiti, na kuimarisha uelewa wa kina wa masomo yao. Ukweli ni kwamba: Elimu bila Mubahatha ni kama mwili bila roho. Hupotea taratibu, na haidumu katika fikra za Mwanafunzi.
-
Wanafunzi wa Hawza ya Imam Ridhwa (as) - Ikwiriri, Tanzania, wakiwa katika makundi yao wakifanya Mubahatha wa kielimu
Bila Mubahatha, elimu hupungua thamani yake na huweza hata kupotea katika akili ya mwanafunzi au mtu yeyote mwenye maarifa.
-
Ijue Siri ya Majina ya Heshima (Lakabu) ya Imamu Ridha (a.s) _ (1)
Majina haya ya heshima (Lakabu) hayakuwa tu kwa lengo la kuitana (ili mradi kuitana, pasina kuwepo kigezo chochote cha msingi), bali yalibeba taarifa za kiroho, madhumuni ya uongozi wa ki_Mungu, na mafunzo kwa Waislamu wote. Kujifunza kuhusu laqabu za Imamu Ridha (a.s) ni kujifunza kuhusu maisha na tabia bora za Kiislamu.
-
Jamii bora haihitajii watu ambao ni wasomi, bali inahitajia watu walioelimika | "Elimu bila Adabu ni sawa na Upanga Mkali Mikononi mwa Kichaa"
Msemo huu: "Elimika Usiwe Msomi" ni wito wa kuhusisha Elimu na Maadili. Elimu ya Kweli huonekana katika namna unavyowatendea wengine. Namna unavyofikiri kuhusu Haki na Uadilifu kwa kila Mwanadamu bila kujali Imani yake ya Kidini.
-
Mkutano wa Mrs.Taqavi, Mudira wa Hawzat ya Wasichana ya Hazrat Zahra (s.a) na Wanafunzi wa Hawzat hiyo
Mkutano ulimalizika kwa mipango ya kuimarisha ushirikiano kati ya Wanafunzi na Walimu.
-
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dr.Abubakar Zubair bin Ally, asisitiza umuhimu wa Elimu ya Dini ya Kiislamu
Elimu ya dini ni muhimu kwa msingi wa maadili mema, lakini haiwezi kuchukua nafasi ya elimu ya dunia katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa. “Tunapaswa kuwa na masheikh na maimamu, lakini pia tuwe na madaktari, wahandisi na wanasayansi,”.
-
Al_Itarah Foundation | Inatambua thamani na uzito wa Elimu na Maarifa ya Qur'an Tukufu,na umuhimu wa Umoja na Mshikamano wa Kiislamu baina ya Waislamu
Zawadi ya Kiroho na muhimu katika fremu ya kutambua thamani na uzito wa Elimu na Maarifa ya Qur'an Tukufu, na umuhimu wa kuendeleza Umoja na Mshikamano wa Kiislamu baina ya Waislamu.
-
Mshauri wa Utamaduni wa Ubalozi wa Iran, Nairobi Dkt. Ali Pourmarjan amtembelea Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Usawa wa Jinsia ya Kenya Mhe. Rehema
Dk. Pourmarjan, mtetezi kwa bidii wa elimu, alieleza dhamira ya Ubalozi wa Iran Nchini Kenya kuwa ni kutoa ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi wanaoishi katika mazingira magumu, kwa lengo la kuwapa fursa bora zaidi kwa maisha yao bora ya baadaye.
-
Mubahatha [Kudurusu kwa Pamoja] - Kwa wanafunzi na watafutaji elimu wote!
Ufahamu huwa na viwango tofauti tofauti, kwa malezi au asili. Wewe ambae ni Mwanafunzi katu usipuuze hichi kipengele cha majadiliano ya kielimu baada ya kupokea maarifa ya mada fulani kutoka kwa Mwalimu.
-
Ulinganisho kati ya Maisha ya Seminari (Hawza) za Kiislamu na Maisha ya Vyuo Vikuu vya Kisekula (Kidunia).
Watu wengi wanatamani Maisha ya Hawza na wanachukua uamuzi wa kujiunga katika Seminari/ Hawza ili kupata Elimu na Maarifa yenye uwezo mkubwa wa kumuongoza Mwanadamu na hatimaye kuchukua kikamilifu mtindo wa Maisha ya Hawza.
-
Mahusiano ya Kijamii ya Kituo cha Utamaduni cha Iran Nchini Tanzania - Dar-es-salaam
Kituo cha Utamaduni cha Iran kipo tayari kutoa Ushirikiano katika nyanja za Utamaduni na Elimu.
-
Tabligh - Tanzania:
Baadhi ya harakati za Kidini za Taasisi ya Kiislamu ya S.D.O - Bukoba, Tanzania
Kwa mtu yeyote, anayetaka thawabu na malipo mema toka kwa Allah (s.w.t), kupitia kusapoti na kusaidia Harakati hizi za Kidini za S.D.O Bukoba, Tanzania, basi anakaribishwa na mlango upo wazi.
-
Umuhimu wa Tabligh, Malengo na Mipango ya Jamiatul - Mustafa (S) nchini Tanzania
Jamiatul - Mustafa ipo tayari kusaidia na kushirikiana na wanaofanya kazi ya kufikisha Ujumbe, Elimu na Maarifa ya Ahlul_Bayt (a.s).
-
Qur'an ni Msingi wa Maisha yetu, na ni Kitabu cha kweli, chenye kudumu milele
Muislamu mwenye kuhifadhi Qur'an Tukufu na mwenye Elimu juu ya Qur'an Tukufu, huyo atakuwa ni mwenye kuangaziwa na Nuru ya Qur'an kaburini mwake, na Mtume Muhammad (s.a.w.w) atakuwa Shahidi wake kesho Siku ya Kiyama.
-
Maafisa wa Umoja wa Mataifa: Wasichana wa Afghanistan Wanapaswa Kurejea Shuleni
Mkurugenzi mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya Wanawake, akizungumzia kuendelea kupigwa marufuku kwa elimu ya wasichana wa Afghanistan, amesema kuwa wasichana katika nchi hii wanapaswa kurejea shuleni haraka iwezekanavyo.
-
Imam Ali (a.s) Katika Kurasa za Historia:
Elimu na Maarifa, Ibada na Ucha Mungu, Ujasiri na Ushujaa, na Upole na Huruma ya Imam Ali (a.s)
Imam Ali (a.s) alipigwa upanga na mtu aliyejulikana kwa jina la Abdur Rahman bin Muljim Muradi (laana iwe juu yake milele). Imam Ali (a.s) alikufa Shahidi siku tatu baadaye katika usiku wa 21 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Imam Ali bin Abi Talib (a.s) ni shakhsia wa pili mkubwa katika Uislamu baada ya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w), na anaelezwa katika historia ya Uislamu kuwa alikuwa jasiri na shujaa wa kupigiwa mfano, mwenye imani thabiti, mwenye akhlaki njema, mwenye elimu na uadilifu usio na kifani.