Asia
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ataka Utekelezaji wa Makubaliano ya Kistratejia kati ya Iran na China
Ayatollah Khamenei amesisitiza nafasi ya kihistoria na ya kimkakati ya Iran na China katika bara la Asia na duniani, na akasema kuwa: "Iran na China, zikiwa na historia ya ustaarabu wa kale katika pande mbili za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko katika medani ya kimataifa na kikanda. Kuweka katika vitendo vipengele vyote vya makubaliano ya kistratejia, kutarahisisha njia hii."
-
Watu milioni 10 nchini Afghanistan wanakosa maji safi ya kunywa
Katika taarifa yake ya hivi punde kuhusu tatizo la maji nchini Afghanistan, UNAMA ilisema kuwa zaidi ya watu milioni 10, karibu theluthi moja ya wakazi wa Afghanistan, hawana maji safi ya kunywa na wanatumia vyanzo vya maji visivyo safi.
-
Mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan walioko Pakistan unaanza leo hii
Vyombo vya Habari vya Pakistan vimeripoti kuwa mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan bila hati za ukazi wa kisheria kutoka nchi hii umepangwa kuanza leo Jumanne (Aprili 1).
-
Watu 2 wameuawa Shahidi na wengine 10 kujeruhiwa kutokana na Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Kusini mwa Lebanon
Watu 2 wameuawa Shahidi na watu 10 wamejeruhiwa kutokana na mvutano uliozuka tena Kusini mwa Lebanon na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika eneo la Tolin.