Ayatollah
-
Ayatollah Alidoust amekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah Javadi Amoli
Ayatollah Abul-Qasim Alidoust, mmoja wa walimu wa masomo ya kiwango cha juu (Dars-e-Kharij) katika Hawza ya Kiislamu ya Qom, amekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah al-Uzma Javadi Amoli
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Ramezani kwa Mkuu wa Haram ya Kudumu ya Razavi
Ayatollah Ramezani katika ujumbe wake aliweka rambirambi kwa kifo cha dada wa Ayatollah Marvi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi atazungumza na wananchi usiku wa leo
Sambamba na Wiki Takatifu ya Ulinzi (au Wiki ya Utetezi Mtukufu - Sacred Defence), Ayatollah Khamenei atazungumza na Wananchi wa Iran na Ulimwengu mzima Usiku wa leo akidadavua masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.
-
Ayatollah Rajabi:
Dhamira kuu ya Taasisi ya Imam Khomeini (rehmatullahi alayh) ni kuzalisha sayansi za binadamu za Kiislamu
Mwenyekiti wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlis Khobregan Rahbari) alisema kuwa Taasisi ya Imam Khomeini (rehmatullahi alayh) ina lengo kuu la kuzingatia nyanja kadhaa muhimu. Aliongeza kuwa taasisi hii inalenga sana masuala ya kielimu, maadili, pamoja na uelewa wa kijamii na kisiasa.