Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Kisheria na Kimataifa, Kazem Gharibabadi, amesema hatua dhidi ya madaktari nchini Australia wanaokosoa Israel ni shambulio dhidi ya uhuru wa kujieleza na dhamira ya taaluma ya tiba.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Gharib Abadi, amesema nguvu za kijeshi za Iran ndizo zilizomlazimisha adui kurejea kwenye mazungumzo, akisisitiza kuwa maandishi ya mwisho ya hati ya maelewano yamekamilika na kutiwa saini rasmi kutafanyika Ijumaa nchini Uswisi, huku Iran ikiahidi kujibu hatua yoyote ya kutotekelezwa kwa ahadi za upande wa pili.