Hii ni miaka 1187 tangu Imam Mahdi (AF) aingie katika kipindi cha Ghaiba Kubwa. Tukio hili ni fursa ya kuhuisha upendo wetu kwake, na kuonyesha kuwa taifa la Iran, hasa Qom, linasimama imara katika njia ya Imam wa Zama."
“Na (Kumbukeni) Ibrahim alipojaribiwa na Mola wake kwa matamko, naye akayatimiza. Akasema: Hakika mimi nitakufanya kuwa Imam wa watu. Ibrahim akasema: Je,na Kizazi changu (pia)?.(Ndiyo, lakini) ahadi yangu haiwafikii Madhalimu.”