Jukumu
-
Falme za Kiarabu, mkono wa Washington na Tel Aviv katika vita ya kijasusi dhidi ya Yemen
Falme za Kiarabu, kwa kubadilisha kambi zake za kijeshi za zamani katika Shabwah na Hadhramaut kuwa vituo vya kijasusi vinavyohusiana na Washington na Tel Aviv, zinacheza jukumu kubwa katika mipango mipya ya ujasusi dhidi ya Yemen.
-
-
Kuongezwa kwa muda wa uteuzi wa Majukumu ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
Kiongozi wa Mapinduzi ameidhinisha kuongezwa kwa muda wa jukumu la Hujjatul-Islam Shahriari kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
-
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa jukumu la UNIFIL nchini Lebanon hadi mwisho wa mwaka 2026.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeamua kuongeza muda wa jukumu la wanajeshi wa UNIFIL kusini mwa Lebanon kwa mara ya mwisho.