Jumapili
-
Kufanyika kwa warsha maalumu yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” huko Qom
Kitengo cha Utafiti cha Jame’atuz-Zahra (s) kwa kushirikiana na Shirika la Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu, kinatarajia kuandaa warsha maalumu ya kitaalamu na ya kiutendaji yenye mada “Vigezo, Mifano na Mchakato wa Nadharia za Kimataifa” katika muktadha wa Tuzo ya Kimataifa ya Shahidi Sadr.
-
Umoja wa Mataifa Wakaribisha Hatua ya Uingereza, Kanada na Australia Kuhusu Palestina
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika taarifa yake amesema kuwa hatua ya kutambua rasmi Taifa la Palestina iliyochukuliwa na Uingereza, Kanada na Australia ni jambo muhimu na la kimaendeleo, kama sehemu ya suluhisho linalojulikana kama mpango wa mataifa mawili.
-
Sauti za Mshikamano wa Mexico na Palestina katika Barabara za Jiji Kuu
Maelfu ya wananchi mjini Mexico City waliungana katika maandamano makubwa yaliyopewa jina “Mexico kwa Palestina”, wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani, huku wakidai kusitishwa kwa mauaji ya kimbari Gaza na kutumwa haraka kwa misaada ya kibinadamu.
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.