Khatamul Anbiyaa
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya yaionya Marekani: Mkishambulia miundombinu ya Iran, tutaharibu iliyosalia katika eneo
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s) amesema Iran haitaruhusu Marekani kuingilia Mlango wa Hormuz na ameonya kuwa endapo miundombinu ya Iran itashambuliwa, Vikosi vya Ulinzi vya Iran vitajibu kwa mashambulizi makubwa dhidi ya miundombinu iliyosalia katika eneo.
-
Kamanda Abdollahi: Tutawalipiza Kisasi Waliomuua Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei (ra)
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s), Luteni Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran itaendelea kufuatilia na kuwaadhibu waliomuua Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi pamoja na mashahidi wengine.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya: Iran Haitaruhusu Uingiliaji wa Usimamizi wa Mlango wa Bahari wa Hormuz
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s) yametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaruhusu kwa hali yoyote uingiliaji wa mamlaka yoyote katika usimamizi wa Mlango wa Bahari wa Hormuz, huku yakiahidi kutoa jibu kali dhidi ya kile ilichokitaja kuwa uchokozi wa Marekani.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatamul Al-Anbiya Ampongeza Mohseni-Ejei kwa Kuteuliwa Tena Kuongoza Mhimili wa Mahakama
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s), Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema kutekeleza maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuzingatia matarajio ya Kiongozi Shahidi kutahakikisha mafanikio endelevu ya Mkuu wa Mhimili wa Mahakama wa Iran.
-
Kiongozi wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (SAW): Vikosi vyetu vya ulinzi viko tayari kuimarisha mamlaka na usalama wa taifa
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (SAWW), Meja Jenerali Ali Abdullahi, amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko katika utayari wa hali ya juu kulinda usalama wa taifa, haki za wananchi na kukabiliana na vitisho vyovyote vinavyolenga nchi hiyo.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (S) Yaionya Israel: Mashambulizi dhidi ya Lebanon Yakendelea, Iran Itajibu kwa Nguvu
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (S) yameionya Israel kwamba ikiwa itaendelea na mashambulizi dhidi ya kusini mwa Lebanon na kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano, itakabiliwa na jibu kali kutoka kwa Vikosi vya Wanajeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa: Adui Hana Njia Nyingine Isipokuwa Kukubali Kushindwa na Kusalimu Amri
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (as) yamesema wananchi wa Iran na vikosi vyao vya ulinzi, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na chini ya uongozi wa Amiri Jeshi Mkuu, vimethibitisha kuwa Marekani na Israel hawana njia nyingine isipokuwa kukiri kushindwa na kusalimu amri mbele ya uthabiti wa taifa la Iran.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s): Iran Itaendelea Kuimarisha Uwezo Wake kwa Azma Kubwa Zaidi
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran itaendelea kuimarisha uwezo wake wa ulinzi, usalama na maendeleo, akisisitiza kuwa taifa hilo halitayumba mbele ya vitisho na mashinikizo ya maadui wake.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa Apongeza Ushiriki Mkubwa wa Wananchi Baada ya Siku 100 za Mshikamano wa Kitaifa
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Abdollahi, amesema ushiriki mkubwa wa wananchi katika kipindi cha siku 100 zilizopita umeonyesha umoja wa kipekee wa taifa la Iran na kuwa sehemu muhimu ya nguvu za kimkakati za kuzuia maadui wa nchi hiyo.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa Yatangaza Kushambulia Kambi za Marekani Kufuatia Uchokozi Dhidi ya Iran
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s) yamesema vikosi vya Jeshi la Iran na Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu vimeshambulia baadhi ya kambi za Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, vikieleza kuwa hatua hiyo ni jibu kwa mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran.