Kongamano
-
Sheikh wa Chuo cha Azhar aomba watu wapambane dhidi ya wanaochafua jina la uilsamu
Sheikh Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri, Ahmed al-Tayeb, ameutolea wito muungano wa kimataifa unaopambana na kundi la kigaidi la Daesh nchini Iraq na Syria, kutanua vita vyake na kuyajumuisha makundi mengine yote yanayochafua jina la Uislamu.
-
Kongamano la kiislamu kuhusu magaidi wanaochafua jina la uislamu
Kongamano la kimataifa dhidi ya Takfir na Magaidi wa Daesh
Picha hizi zinahusiana na kongamano la kimataifa lilikusanya wanazuoni kutoka nchi mbalimbali dunia, kwa ajili ya kujadili madhara na jinsi ya kukabiliana na makundi ya Takfir,Daesh na wanaochafua jina la dini tukufu ya uislamu.
-
Kongamano la kiislamu kuhusu magaidi wanaochafua jina la uislamu
Ayatollah Jannatii: Watu wafahamishwe kuwa makundi ya Takfiri na magaidi hayahusiani na dini ya uislamu
Kiongozi wa kidini ambaye pia ni kiongozi serikalini Ayatollah Jannatii katika kikao hicho cha kimaitaifa amesema kuwa: inatupasa kutumia kila njia kuwafahamisha watu ukweli kuhusu magaidi na wote wenye misimamo mikali wanayoinasibisha na uislamu, kuwa vitendo vyao na misimamo yao haihusiani na uislamu.
-
Kongamano la kiislamu kuhusu magaidi wanaochafua jina la uislamu
Wanazuoni wakuu wa ulimwenguni wakutana kujadili hatari ya magaidi wanaochafua jina la uislamu
Wanazuoni wakuu kutokamataifa mbali mbali duniani, wamekusanyika katika mji wa mtukufu wa Qum Iran, ili kujadili hatari inayoukabili uislamu kwa sasa.