Kongamano
-
Kufanyika kwa Vikao vya Kitaaluma Vinavyohusiana na Kongamano la Mfano wa Uongozi wa Shahid Raisi Katika Nchi 6; Kuanzia Iran hadi Malaysia na Iraq
Katibu wa Kwanza wa Kongamano la Kimataifa la Mfano wa Uongozi wa Shahid Ayatollah Dkt. Sayyid Ebrahim Raisi: Kongamano Limekuwa Jukwaa la Kimataifa kwa Ufafanuzi wa Uongozi wa Kiislamu Katibu wa kongamano la kwanza la kimataifa kuhusu mfano wa uongozi wa Shahid Ayatollah Dkt. Sayyid Ebrahim Raisi amesema kuwa, kongamano hili limekuwa jukwaa la kimataifa kwa ajili ya kufafanua dhana ya uongozi wa Kiislamu, kupitia vikao mbalimbali vilivyofanyika katika nchi sita — ambazo ni India, Pakistan, Indonesia, Malaysia, Iraq na Iran.
-
Mwandishi wa Habari wa ABNA Aibuka Mshindi katika Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari la Abu Dharr katika Mkoa wa Qom
"Mohsen Saberí" ametangazwa kuwa mmoja wa washindi wa Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari la Abu Dharr katika mkoa wa Qom.
-
"Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Waandishi wa Habari wa Ahlul Bayt (a.s) umeanza kwa kushirikisha Wanahabari kutoka Bara la Afrika."
Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Waandishi wa Habari wa Ahlul Bayt (a.s) waanza kwa ushiriki wa wanahabari na wasomi kutoka Iran na Bara la Afrika Mjini Qom
-
Chuo Kikuu cha Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam - Tanzania kimeandaa Kongamano la Kisayansi kuhusu Maendeleo katika Ulimwengu wa Kiislamu
Kongamano hili litajadili juu ya Maendeleo katika Ulimwengu wa Kiislamu kati ya changamoto na mkakati. Mhadhiri: Samahat Sheikh Mulaba Saleh. Siku ya: Jumamosi; 19/04/2025. Kuanzia: 10 - 12:00 AM. Katika Ukumbi wa Sala wa Chuo cha Jamiat Al- Mustafa. Watu wote mnakaribishwa kuhudhuria katika nad'wa hii ya Kisayansi.
-
Jopo la Wanawake la Kongamano la 6 la Kimataifa la Quds Tukufu litafanyika
Kongamano hili lenye jina la "Tuelekee Al-Quds" litafanyika siku ya Jumanne, tarehe 25 Machi, 20205 Jijini Tehran, katika jengo la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS).