Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Leo hii, fursa ya kipekee imepatikana kwa vyuo vya kidini, ambayo haijawahi kushuhudiwa katika vipindi vya nyuma. Tunapaswa kuweza kuitambulisha dini ya Uislamu kwa dunia kwa kutumia lugha na istilahi za kimataifa, na kwa hakika tutafaulu katika njia hii.
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amesema: "Tukio chungu zaidi si tukio la uhalifu unaofanyika dhidi ya Gaza, bali ni kile kimya kinachojiri katika Kasri za watawala wa Kiislamu na Kiarabu." Lugha zilizokuwa zikizungumza kutetea Uislamu sasa hivi zinalamba nyayo za madola ya kibeberu.