Rais wa Iran amekosoa uungaji mkono wa Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi kwa vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni na kusema: "Kama vile vikosi vyetu vya kijeshi hadi hivi sasa vimemendelea kutoa majibu yanayofaa na yenye nguvu, iwapo hatua za kiuadui za utawala wa Kizayuni zitaendelea, basi majibu yatakuwa ya maamuzi na makali zaidi."
“Watu wengi wanataka kubadilika katika maisha yao na kuwa na maendeleo mazuri, lakini ni wachache kati yao wanaofanya hivyo, kwa sababu Nguvu ya Maamuzi ndani yao ni ndogo, na ukizingatia Nguvu ya Maamuzi ndio inayobeba matokeo chanya, na si haja pekee.”