Majibu
-
Iran Yahoji Madai ya Marekani: Ikiwa Shambulio la Beirut Lingesimamishwa kwa Simu Moja, Kwa Nini Mashambulizi Yaliendelea kwa Miezi Kadhaa?
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amehoji madai ya Rais wa Marekani kuhusu kuzuia shambulio dhidi ya Beirut kwa simu moja, akisema kuwa ikiwa hilo linawezekana, basi ni lazima ielezwe kwa nini mashambulizi dhidi ya Lebanon, ukiukaji wa usitishaji mapigano na vitisho kwa mamlaka ya taifa hilo viliendelea kwa miezi kadhaa huku vikifurahia uungaji mkono wa kisiasa na kijeshi kutoka kwa baadhi ya nchi za Magharibi.
-
IRGC Yatangaza Mashambulizi ya Kulipiza Kisasi Dhidi ya Kambi ya Marekani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limesema limelenga kambi ya kijeshi ya Marekani baada ya shambulizi lililoripotiwa kufanywa karibu na Uwanja wa Ndege wa Bandar Abbas, likionya kuwa uchokozi wowote dhidi ya Iran utakabiliwa na majibu makali zaidi.
-
Somalia Yasisitiza Umoja wa Kitaifa na kwamba Ukamilifu wa Ardhi na Mamlaka ya Taifa Lake Haviwezi Kugawanyika
Balozi wa Somalia katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa ukamilifu wa ardhi na mamlaka ya taifa la Somalia hauwezi kugawanywa, akieleza vipaumbele vya urais wa Somalia wa Baraza la Usalama Januari 2026 na kukataa vikali hatua zozote zinazolenga kudhoofisha umoja wa nchi hiyo.
-
Trump Aondoka Mashariki ya Kati Bila Kujibu Maswali Muhimu
Rais wa Marekani ameondoka katika eneo hilo bila kutoa majibu kwa maswali yaliyoibuliwa kabla ya kuwasili kwake. Hali hii imeacha ukosefu wa uwazi kuhusu nia na mikakati ya Marekani katika eneo, huku wachambuzi wakibainisha kuwa maswali muhimu kuhusu sera za kisiasa na usalama hayajapatiwa majibu.
-
Majibu ya kwanza ya Qatar kufuatia shambulizi la Israel dhidi ya Qatar: Uchunguzi unafanyika katika ngazi ya juu kabisa!!!
Qatar imelaani shambulizi la Israel dhidi ya Hamas mjini Doha.
-
Baghdad yamuita Balozi wa Uingereza kufuatia matamshi yake kuhusu Hashd al-Shaabi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imemuita balozi wa Uingereza mjini Baghdad kutokana na matamshi yake kuhusu nafasi ya Hashd al-Shaabi katika mfumo wa usalama wa Iraq, na imeonyesha majibu makali juu ya kauli hizo.
-
Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani: Msihadaike, hali ya "Israeli" ni mbaya zaidi kuliko watu wanavyodhani
"Israeli" haikuwa tayari na majibu ya Iran.
-
Dkt. Pezeshkian katika Mkutano wa leo wa Baraza la Mawaziri:
Marekani bila shaka yoyote ina mchango wa moja kwa moja katika hujuma za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni | Majibu yatakuwa ya maamuzi makali
Rais wa Iran amekosoa uungaji mkono wa Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi kwa vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni na kusema: "Kama vile vikosi vyetu vya kijeshi hadi hivi sasa vimemendelea kutoa majibu yanayofaa na yenye nguvu, iwapo hatua za kiuadui za utawala wa Kizayuni zitaendelea, basi majibu yatakuwa ya maamuzi na makali zaidi."