Msimamo
-
Mbunge wa Lebanon;
Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia
Ikumbukwe kuwa jarida moja la Lebanon lilidai hivi karibuni kuwa Ammar Al-Moussawi, afisa wa mahusiano ya kigeni wa Hezbollah, amekuwa kwa siku tatu katika safari ya siri nchini Saudi Arabia kwa upatanishi wa Uturuki, madai ambayo hadi sasa hayajathibitishwa rasmi.
-
Joseph Aoun ataka Israel ishinikizwe ijiondoe Lebanon
Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, ameitaka jumuiya ya kimataifa kuishinikiza Israel ili itekeleze kikamilifu makubaliano ya usitishaji vita na ijiondoe katika ardhi ya Lebanon.
-
Andiko Kamili la Khutba ya Fadak ya Bibi Fātima Zahra (a.s) pamoja na tarjama yake
1. Mwanzo wa Khutba – Malalamiko kuhusu dhulma na msimamo wa watu Kisha hamkungoja hata kidogo ili moyo uliokuwa umejeruhiwa utulie, na hali ile ngumu iwe nyepesi. Bali mliongeza kuni kwenye moto, mkaufukuzia upepo ili uongezeke kuwaka. Mlikuwa tayari kuitikia mwito wa Shetani, mkijiandaa kuzima nuru angavu ya dini ya Mwenyezi Mungu, na kuondoa Sunna za Mtume Muhammad (s.a.w.w) aliyechaguliwa. Kwa kisingizio cha maslahi, mlikuwa mkila kijuujuu na kuficha nia zenu. Mlikuwa mkifanya njama nyuma ya vilima na miti dhidi ya familia yake na watoto wake. Na sisi tulipaswa kustahimili mambo haya yenye uchungu kama kisu chenye makali makali, au mkuki unaopenya tumboni.
-
Ukosoaji wa Mwakilishi wa Hezbollah:
Ukimya wa Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita Kuhusu Uhalifu Mpya wa Utawala wa Kizayuni
Azaldin: Adui tangu mwanzo haikuwa imezingatia kuacha mashambulizi, lakini Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita hadi sasa haijachukua msimamo wowote dhidi ya adui wa Kizayuni.
-
Kabla ya kuondoka Tehran kuelekea Iraq na Lebanon;
LariJani: Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa / Kusisitiza umoja wa kitaifa wa Lebanon
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa alisema kwamba usalama wa Iran unategemea usalama wa majirani zake na kuongeza: “Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa na utaasainiwa katika safari hii.”
-
Mchambuzi wa Kiyahudi: "Kwa Nini Tumeshindwa Vita na Iran Imeshinda Vita?"
Mchambuzi huyu wa Kiyahudi, Goldberg alisisitiza zaidi kuwa Makombora ya Iran yalilenga kwa usahihi mno Shabaha zake, na yameibuka kwa heshima kubwa kimataifa. Badala ya kusambaratika, Iran imeonekana kuwa Taifa thabiti na lenye msimamo wa kupambana na uonevu wa yeyote.
-
Araghchi: "Kiongozi Mkuu ameweka wazi wajibu wa Iran kuhusu urani na kwamba suala la urutubishaji wa Urani (uranium enrichment) halipo mezani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqhchi, alizungumza kuhusu msimamo wa Marekani katika mazungumzo ya nyuklia na kusisitiza kwamba suala la urutubishaji wa urani (uranium enrichment) halipo kabisa katika meza ya majadiliano. Alisema kuwa urutubishaji si jambo ambalo linapaswa kujadiliwa, kwani haki ya Iran ya kuendeleza mpango wake wa nyuklia ni jambo la msingi na lililowekwa wazi. Aidha, aliongeza kuwa: Kiongozi Mkuu alisema wazi kuhusu hili katika majadiliano yaliyopita na hakubali kuona suala hili likiingizwa tena katika mchakato wa majadiliano.