Msimamo
-
Afisa wa Iraq: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwakilisha shule ya Jihadi, elimu, msimamo na kujitolea
Mkuu wa Ofisi ya Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq mjini Tehran, Majid Al-Ghammas, amesema Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwakilisha shule ya jihadi, elimu, uwajibikaji, uthabiti na kujitolea, akisisitiza kuwa maisha yake yamekuwa mfano kwa vizazi vijavyo.
-
Sayyid Mustafa Khamenei: Subira haiipingani na kulipiza haki wala kukabiliana na waovu
Sayyid Mustafa Khamenei amesema kuwa subira ya kweli si udhaifu wala kusalimu amri, bali ni kusimama imara katika njia ya haki huku ukiendelea kukabiliana na waovu na kutafuta haki dhidi ya waliohusika na uhalifu mkubwa.
-
Seneta wa Marekani Lindsey Graham afariki dunia akiwa na umri wa miaka 71
Ofisi ya Seneta Lindsey Graham imetangaza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama cha Republican amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 baada ya kile kilichoelezwa kuwa "ugonjwa wa ghafla wa muda mfupi."
-
Panahian: Iran Itasimama Imara Kulipiza Kisasi cha Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei
Mwanazuoni wa Kiislamu wa Iran, Alireza Panahian, amesema wakati wa mazishi ya Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei kwamba Iran iko tayari kujitolea kwa gharama kubwa ili kuhakikisha kisasi kwa kuuawa kwa kiongozi huyo, akisisitiza kuwa jambo hilo halitaachwa bila majibu.
-
Iran: Hakuna Mpango wa Kukutana na Marekani, Mazungumzo ya Fedha Zilizozuiliwa Kufanyika Doha
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran itajadili suala la fedha zake zilizogandishwa na Qatar mjini Doha, huku akisisitiza kuwa hakuna mipango ya kukutana na maafisa wa Marekani katika siku zijazo na kwamba msimamo wa Iran kuhusu Lebanon unabaki wazi.
-
Mwandishi wa Lebanon Aikosoa Vyombo vya Habari kwa Msimamo wao Kuhusu Jeshi la Lebanon
Mwandishi wa Lebanon, Laila Amasha, amesema baadhi ya vyombo vya habari nchini humo huonyesha uungaji mkono kwa Jeshi la Lebanon pale tu linapofuata sera za Marekani, huku vikilikosoa pindi linapochukua msimamo wa kujitegemea.
-
Sheikh Naim Qassem: Israel itaondoka kabisa katika ardhi ya Lebanon, hakuna maelewano ya kusalimu amri
Naibu Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, amesema Israel hatimaye itaondolewa kikamilifu katika kila kipande cha ardhi ya Lebanon, akisisitiza kuwa harakati yao haiko tayari kwa maelewano ya kusalimu amri na kwamba njama za kuangamiza Hezbollah zimefeli.
-
Sheikh Naim Qassem: Iran ni Alama ya Heshima na Nguzo ya Muqawama Dhidi ya Israel
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, amesema katika barua yake kwa Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, kwamba Iran imeonyesha kwa vitendo uungaji mkono wake kwa haki, muqawama na waliodhulumiwa. Ameeleza kuwa mchango wa Iran umeimarisha uwezo wa Lebanon kujitetea na kuitaja Iran kuwa "alama ya heshima na utukufu" katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni.
-
Iran: "Vitendo vya Israel Vimegeuka Fursa ya Kuimarisha Mhimili wa Muqawama"
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema vitendo vya Israel havikuvuruga maslahi ya Iran na Lebanon, bali vimeimarisha mshikamano na kuongeza nguvu za Mhimili wa Muqawama katika kukabiliana na Israel.
-
Iran Yatangaza Rasmi Kufikiwa kwa Rasimu ya Mwisho ya Makubaliano na Marekani; Ijumaa Kutia Saini
Iran imetangaza rasmi kwa mara ya kwanza kufikiwa kwa rasimu ya mwisho ya makubaliano na Marekani, huku Ijumaa ikitajwa kuwa siku ya kutiwa saini; wakati huo huo, wachambuzi wanaeleza kuwa usitishaji wa mapigano nchini Lebanon, endapo Israel itautekeleza, ni matokeo ya msimamo wa Iran wa kujumuisha suala la Lebanon katika makubaliano hayo na ustahimilivu wa Muqawama katika medani ya mapambano.
-
Netanyahu Awataka Raia wa Lebanon Kuungana na Israel Dhidi ya Hezbollah
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa wito kwa raia wa Lebanon kujitenga na Hezbollah, akidai kuwa kundi hilo limeishikilia nchi hiyo “mateka” na kusisitiza kuwa Israel haina uhasama na wananchi wa Lebanon.
-
Araghchi Azungumza na Mawaziri wa Uturuki na Saudi Arabia: Iran Ina Haki ya Kujibu Mashambulizi ya Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na kusema Iran ina haki halali ya kujibu uchokozi wowote dhidi ya mamlaka na umoja wa ardhi ya nchi hiyo.
-
Robert Pape: Ujumbe wa Trump Unaonyesha Kuongezeka kwa Nguvu za Iran Kanda ya Mashariki ya Kati
Profesa Robert Pape amesema msimamo wa Iran wa kutokushiriki mazungumzo wakati mashambulizi dhidi ya Hezbollah yanaendelea umeonyesha uzito wa ushawishi wake wa kikanda, huku akionya kuhusu uwezekano wa kipindi kirefu cha ukosefu wa utulivu katika eneo hilo.
-
Barrick Gold Yalipa Faranga za CFA Bilioni 275 kwa Mali Baada ya Mvutano wa Muda Mrefu
Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold imelipa Faranga za CFA bilioni 275 kwa Serikali ya Mali ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa zikidaiwa na mamlaka za nchi hiyo, hatua inayotajwa kuwa matokeo ya msimamo mkali wa Bamako katika kusimamia rasilimali zake za taifa.
-
Kiongozi jasiri na taifa imara la Iran vitashinda njama za Marekani
Hassan Fadlallah, mwakilishi wa Hezbollah katika Bunge la Lebanon, amesema kuwa kiongozi jasiri na taifa imara la Iran watafanikiwa kushinda njama za Marekani. Amesisitiza pia kuwa uchaguzi wa Bunge la Lebanon utafanyika kwa wakati wake wa kisheria bila kuahirishwa, na kwamba juhudi zozote za nje za kuingilia mchakato huo hazitafanikiwa.
-
Lapid: Marekani iitaje Qatar kuwa “nchi adui”
Kiongozi wa upinzani wa utawala wa Kizayuni, Yair Lapid, ameutaka utawala wa United States kuitangaza Qatar kuwa “nchi adui”. Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa mashirika makubwa ya Kiyahudi nchini Marekani, Lapid alidai kuwa uwekezaji wa kifedha wa Qatar katika vyuo vikuu vya Marekani unachochea kuenea kwa chuki dhidi ya Wayahudi na misimamo mikali. Aidha, alibainisha kuwa amewasilisha pendekezo la kuitambua Qatar kama nchi adui kisheria, akisisitiza kuwa taifa hilo ni “adui wa Marekani, Israeli na dunia.”
-
Reuters: Iran Yasisitiza Haki ya Kurutubisha Uranium Katika Mazungumzo ya Muscat
Reuters yaripoti kuwa Iran imesisitiza haki yake ya kurutubisha uranium katika mazungumzo ya Muscat, huku ikionyesha utayari wa kujadiliana kuhusu kiwango cha urutubishaji au kuanzishwa kwa consortium ya kikanda, na ikaongeza kuwa masuala ya makombora hayakujumuishwa kwenye ajenda ya mazungumzo.
-
Mbunge wa Lebanon;
Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia
Ikumbukwe kuwa jarida moja la Lebanon lilidai hivi karibuni kuwa Ammar Al-Moussawi, afisa wa mahusiano ya kigeni wa Hezbollah, amekuwa kwa siku tatu katika safari ya siri nchini Saudi Arabia kwa upatanishi wa Uturuki, madai ambayo hadi sasa hayajathibitishwa rasmi.
-
Joseph Aoun ataka Israel ishinikizwe ijiondoe Lebanon
Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, ameitaka jumuiya ya kimataifa kuishinikiza Israel ili itekeleze kikamilifu makubaliano ya usitishaji vita na ijiondoe katika ardhi ya Lebanon.
-
Andiko Kamili la Khutba ya Fadak ya Bibi Fātima Zahra (a.s) pamoja na tarjama yake
1. Mwanzo wa Khutba – Malalamiko kuhusu dhulma na msimamo wa watu Kisha hamkungoja hata kidogo ili moyo uliokuwa umejeruhiwa utulie, na hali ile ngumu iwe nyepesi. Bali mliongeza kuni kwenye moto, mkaufukuzia upepo ili uongezeke kuwaka. Mlikuwa tayari kuitikia mwito wa Shetani, mkijiandaa kuzima nuru angavu ya dini ya Mwenyezi Mungu, na kuondoa Sunna za Mtume Muhammad (s.a.w.w) aliyechaguliwa. Kwa kisingizio cha maslahi, mlikuwa mkila kijuujuu na kuficha nia zenu. Mlikuwa mkifanya njama nyuma ya vilima na miti dhidi ya familia yake na watoto wake. Na sisi tulipaswa kustahimili mambo haya yenye uchungu kama kisu chenye makali makali, au mkuki unaopenya tumboni.
-
Ukosoaji wa Mwakilishi wa Hezbollah:
Ukimya wa Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita Kuhusu Uhalifu Mpya wa Utawala wa Kizayuni
Azaldin: Adui tangu mwanzo haikuwa imezingatia kuacha mashambulizi, lakini Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita hadi sasa haijachukua msimamo wowote dhidi ya adui wa Kizayuni.
-
Kabla ya kuondoka Tehran kuelekea Iraq na Lebanon;
LariJani: Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa / Kusisitiza umoja wa kitaifa wa Lebanon
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa alisema kwamba usalama wa Iran unategemea usalama wa majirani zake na kuongeza: “Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa na utaasainiwa katika safari hii.”