Ofisi
-
Viongozi wa Serikali na Jeshi la Polisi Jijini Mwanza Watunukiwa Tuzo za Amani Kupitia Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026
Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026 imetoa tuzo za heshima kwa viongozi wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Jeshi la Polisi, kama ishara ya kutambua mchango wao katika kudumisha amani, mshikamano na utulivu wa kijamii. Tuzo hizo zilitolewa katika hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za serikali, vyombo vya ulinzi na jamii kwa ujumla kuelekea maandalizi ya tukio hilo muhimu la Maridhiano Day 2026.
-
Zaher Al-Mahrouqi katika mahojiano na ABNA:
Mfano wa Somaliland utaenea kwa nchi nyingine / Taa ya kijani kwa hatua hii italigharimu eneo kwa gharama kubwa za kiusalama!
Mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Oman, katika mahojiano na ABNA, ameielezea hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kuwa ni jaribio hatari la kulazimisha uhalisia mpya dhidi ya wananchi wa Palestina. Alisisitiza kuwa uamuzi huu si tu ukiukaji wa wazi wa haki za Wapalestina, bali pia unaweza kutathminiwa kuwa sehemu ya mradi wa kuliondoa Gaza wakazi wake na kufanya uhandisi wa idadi ya watu katika eneo.
-
Rais wa Mahakama ya Juu: Katika mafundisho ya Uislamu, mwanamke ni kama maua ya harufu tamu na maua yanayopaswa kulindwa na kutunzwa zaidi
Rais wa Mahakama ya Juu alieleza katika sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Hazrat Fatima (S) na heshima ya mama na Siku ya Mwanamke, kwamba: katika mafundisho ya Uislamu, mwanamke ni kama “Reihana” (maua ya harufu nzuri) na maua yanayopaswa kulindwa na kutunzwa zaidi. Mtazamo huu na mazungumzo haya yana tofauti dhahiri na mafundisho ya Magharibi ambayo huona mwanamke kama bidhaa inayopaswa kuonyeshwa au kutumika.
-
Naibu wa Ofisi ya Tablighi ya Hawza ya Qom amesema kuwa:
“Utetezi Mtakatifu (Kujihami Kutakatifu - Sacred Defence) ni chuo cha malezi na hazina ya kitamaduni”
Hujjatul-Islam Rousta Azad amesema: Kongamano la “Muballighina Mujahid” likiambatana na kumbukumbu ya kuwatunukia mfano bora wa jihadi na tabligh, litafanyika siku ya Jumatano, tarehe 9 Mehr, kuanzia saa 3 asubuhi, kwa kuhudhuriwa na kundi muhimu la makamanda na mashahidi hai wa Vita vya Utetezi Mtakatifu, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Ghadir, Ofisi ya Tablighi ya Kiislamu.
-
Malta Yaitambua Rasmi Palestina
Malta imetangaza kuwa leo itaikubali rasmi Palestina kama taifa huru.
-
Zaidi ya Wanawake na Wasichana 1,000 Wafariki Katika Tetemeko la Ardhi Mashariki mwa Afghanistan
UN: Wanawake na Wasichana 1,025 Wamefariki Katika Tetemeko la Ardhi Mashariki mwa Afghanistan. Ofisi ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) nchini Afghanistan imetangaza kuwa: Jumla ya wanawake na wasichana 1,025 wamepoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea katika maeneo ya mashariki mwa Afghanistan. Taarifa hiyo inasisitiza ukubwa wa athari za kibinadamu, hasa kwa wanawake na watoto, katika tukio hili la maafa ya asili.
-
Al-Bukhaiti: "Vita imeingia katika awamu mpya na wavamizi watalipa gharama kubwa"
Mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ametangaza kuwa shambulio dhidi ya kikao cha Serikali ya Yemen huko Sana'a lilivuka mistari miekundu na kwamba vita imeingia katika awamu mpya.
-
Shambulio la Kombora la Yemen Tena Dhidi ya Israel
Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa jeshi la Yemen kwa mara nyingine limeishambulia ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa kombora.
-
Wayahudi Wanaopinga Uzayuni Wametoa Pongezi kwa Mashahidi wa Mashambulizi ya Israel Dhidi ya Iran
Mayahudi wanao uchukia Uzayuni huko New York, walihudhuria katika Ofisi ya Ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa mjini New York na kutoa heshima zao kwa Mashahidi wa Mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni.
-
Waisraeli 24 wauawa na 592 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Iran katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Ofisi ya habari ya Israel imeripoti kuwa, tangu kuanza mashambulizi ya makombora mazito ya Jamhuri ya Kiislamu ndani ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Wazayuni 24 wameuawa na wengine 592 wamejeruhiwa.