Picha
-
Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum Atoa Nasaha za Eid al-Adha na Hijja: Ibada Ifanywe kwa Ikhlasi na Si Kujionesha Mitandaoni
Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum amesisitiza umuhimu wa uelewa sahihi wa ibada za Eid al-Adha na Hijja. Ameeleza kuwa kondoo ni mnyama bora zaidi kwa kuchinjwa katika Eid al-Adha endapo anapatikana, na hata nyama yake ni bora zaidi Bali Kondoo Ndiye asili ya ibada hiyo. Kuhusu Hijja, amebainisha kuwa ni ibada ya kuitikia wito wa Mwenyezi Mungu kupitia Nabii Ibrahim (as), na huleta utakaso wa dhambi kwa mja. Ameonya baadhi ya mahujaji kukosa maandalizi ya kiroho na kurejea katika dhambi baada ya Hijja. Ameikosoa tabia ya kutumia ibada ya Hijja kwa kujionesha mitandaoni kupitia Picha za “selfie”, akisisitiza kuwa ibada ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu pekee. Amemalizia kwa kusisitiza msingi wa ikhlasi na kuepuka riyaa katika ibada zote.
-
Gari yagongana na Kizuizi cha Usalama Mbele ya Ikulu ya White House + Picha
Maafisa wa Marekani wametangaza kuwa jioni ya Jumanne wamemkamata mwanaume mmoja baada ya gari lake kugongana na kizuizi cha usalama kilichoko mbele ya lango la kuingilia Ikulu ya White House.
-
Ripoti ya ABNA kutoka katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, huko Qom;
"Nasrallah hakuwa mtu, bali alikuwa ni shule ya fikra / Silaha ya mapambano itaendelea kubaki" + Picha na Video
Hujjatul-Islam Naser Rafii, katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, alisema: "Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa mbebaji bendera ya mapambano na kielelezo cha shule ya fikra, na njia yake itaendelea."
-
Ilibainishwa katika mkutano na waandishi wa habari:
Maonesho ya Picha 'Siku 12 za Iran' Tukio Kubwa la Simulizi ya Vita, Yataoneshwa Nchini 40
Maonyesho ya Picha ya Kimataifa “Siku 12 za Iran” yenye mada ya Simulizi Halisi ya Vita vya Kulazimishwa vya Siku 12, yanayoratibiwa na Jumuiya ya Amani ya Kiislamu Duniani na Taasisi ya Utamaduni, Sanaa na Utafiti ya Saba, kwa ushirikiano wa Taasisi 21 za ndani na kimataifa, yatafanyika kuanzia tarehe 14 Septemba katika Taasisi ya Sanaa na sambamba na nchi 40 duniani.
-
Arubaini ya Imam Hussein (a.s):
Taasisi za Kijamii Nchini Tanzania: BEF na Nyota Foundation Zandaa Tukio la Uchangiaji Damu kwa Upendo na Huruma ya Kibinadamu
Tukio hili limeonesha mshikamano wa kijamii na mshikikano wa kiimani kwa kuenzi mfano wa kujitolea na ubinadamu wa Imam Hussein (a.s), na limekuwa ni ishara muhimu ya mshikamano wa Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla katika kusaidia wenzao wenye uhitaji wa Damu Mahospitalini.
-
Chini ya Uangalizi wa Shirika la Habari la Abna:
Maelezo ya Tukio la Pili la Vyombo vya Habari “Nahnu Abna Al-Hussain (AS)” Yatangazwa / Formati, Tuzo, Njia za Kuwasilisha Kazi, na Picha ya Tangazo
Tukio la pili la vyombo vya habari “Nahnu Abna Al-Hussain (AS)” linakusudia kukuza na kuunga mkono kazi za kisanii na vyombo vya habari wakati wa msimu wa Arbaeen kwa mtazamo wa kimataifa, likionyesha uwepo wa mataifa mbalimbali, tamaduni, na dini, na litakubali kazi (Mawasilisho) kutoka kwa Mazuwwari wa Arbaeen.
-
Zaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad
Ndege hiyo ilitangaza hali ya dharura muda mfupi baada ya kupaa, lakini mawasiliano yakakatika haraka.Picha zilizotumwa mtandaoni zinaonyesha moshi mkubwa ukifuka kutoka eneo la ajali.