Sheria
-
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran: Kumetokea Mlipuko Katika Meli Mbili za Mafuta Katika Mlango Bahari wa Hormuz
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran wamesema meli mbili za mafuta zililipuka na kusimama baada ya kujaribu kutumia njia iliyotajwa kuwa si salama na yenye hatari katika Mlango Bahari wa Hormuz.
-
Jeshi la Wanamaji la IRGC Lasimamisha Meli 4 Zilizokiuka Sheria Katika Ghuba ya Uajemi
Jeshi la Wanamaji la IRGC limesimamisha meli nne zilizokiuka sheria katika Ghuba ya Uajemi, huku likiwaonya wamiliki wa meli hizo kutodanganywa na kile lilichokiita “Msaada usio na msingi” wa jeshi la kigaidi la Marekani na kuzingatia maonyo na matamko ya Jeshi la Wanamaji la IRGC.
-
Rais Pezeshkian: Marekani Inakiuka Sheria katika Siasa na Michezo, Iran Itatetea Haki Zake
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ukiukaji wa sheria na udanganyifu ni sifa zinazotawala mwenendo wa Marekani katika siasa na michezo, akisisitiza kuwa Iran haitakubali vitendo hivyo na itaendelea kutetea haki zake kwa uthabiti.
-
Kufichuliwa kwa muundo wa siri wa utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kukwepa uwajibikaji / Haki iko chini ya upanga wa fedha na nguvu ya utawala
Tovuti ya Kifaransa Mediapart, kwa ushirikiano na vyombo vingine nane vya habari vya Ulaya, kupitia mradi unaoitwa “Faili za Utawala wa Kizayuni”, imefichua kuundwa kwa kitengo cha siri ndani ya Wizara ya Sheria ya utawala huo.
-
France 24: Sera la Laicité (Utaifa usioegemea Dini) nchini Ufaransa yageuzwa kuwa chombo cha shinikizo la kisiasa dhidi ya Waislamu
Wataalamu: Sheria hizi zinalenga kundi moja tu - Waislamu Nicolas Cadène, ambaye ni mtaalamu maarufu wa sheria ya Ulaikishe na aliyewahi kuwa ripota wa Kituo cha Uangalizi wa Ulaikishe, ameiambia France 24 kwamba: “Mipango hii inawalenga Waislamu pekee, na inaonyesha kukubalika kwa ubaguzi wa wazi.”
-
Ubalozi wa Iran: Hatua ya Marekani dhidi ya Venezuela ni wizi katika Bahari ya Karibi
Ubalozi wa Iran mjini Caracas, huku ukilaani vikali kitendo cha Marekani cha kukamata mafuta kwenye eneo la karibu na pwani ya Venezuela, umetangaza kuwa hatua hiyo ya Marekani ya kukamata meli ya mafuta ya Venezuela bila sababu yoyote ya kisheria ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na kanuni za kimataifa.
-
Mwanazuoni wa Kireno atoa ukosoaji mkali kuhusu sheria ya kupiga marufuku burqa
Kupitishwa kwa sheria ya kupiga marufuku burqa nchini Ureno - iliyotetewa kwa kisingizio cha “kulinda usalama na haki za wanawake” - kumezua upinzani kutoka kwa wanaharakati kadhaa. Miongoni mwa wakosoaji hao ni Paulo Mendes Pinto, mtafiti wa masuala ya dini nchini humo, ambaye katika mahojiano na chombo cha habari cha ndani ametoa maoni ya kuvutia kuhusu suala hilo.
-
(Radi amali) Mwitikio wa Maduro kwa Kupelekwa kwa Manowari za Marekani Venezuela
Rais wa Venezuela ameikosoa hatua ya Marekani ya kupeleka manowari tatu za kivita karibu na pwani ya nchi yake, akitaja kitendo hicho kuwa ni “uvamizi wa kigaidi wa kijeshi, usio halali na kinyume cha sheria.”