Teknolojia
-
Iran yatangaza makombora yake ya masafa marefu (ICBM) yenye uwezo wa kufika hadi kilomita 10,000
Tangazo la Iran kuhusu makombora yake mapya ya masafa marefu linaonyesha ukuaji wa haraka wa teknolojia ya kijeshi ya taifa hilo na pia linaonekana kama ujumbe wa kisiasa wa onyo kwa wapinzani wake wa Magharibi.
-
Rais wa Shirika la Nishati ya Atomiki: Teknolojia ya nyuklia ni viwanda na mwanga wa afya kwa wananchi wa Iran
Rais wa Shirika la Nishati ya Atomiki ya Iran katika hafla ya ufunguzi wa Kituo cha Mionzi kaskazini-magharibi mwa nchi, alieleza kwamba teknolojia ya nyuklia ni tasnia ya kisasa, na matumizi ya mionzi ni hatua muhimu katika kuboresha afya na usalama wa chakula nchini. Pia alisisitiza kuwa teknolojia hii inaweza kuleta baraka nyingi kwa wananchi wa Iran.
-
Iran Yazindua Makombora Mapya Yenye Uwezo wa Kuongozwa Angani
Wataalamu wa kijeshi wanaona kuwa teknolojia ya kuongozwa kwa Makombora yakiwa angani inafanya makombora hayo kuwa na faida kubwa kutokana na uwezo wake wa kurekebisha au kubadilisha mwelekeo kwa wakati halisi na Sahihi, jambo linaloongeza usahihi na kupunguza uwezekano wa kuruka hadi mbali bila kufikia shabaha yake.
-
Kibaha Dar-es-salaam | Wanafunzi wa Chuo cha Al-Mustafa Mbezi Beach washika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kisayansi na Maarifa +Picha
Taasisi na vyuo vinne vilishiriki katika mashindano hayo, ikiwemo Taasisi ya Kimataifa ya Al-Mustafa (s). Wanafunzi wavulana wa Chuo cha Al-Mustafa - Mbezi Beach waliwakilisha taasisi yao kwa umahiri mkubwa na hatimaye wakaibuka washindi wa nafasi ya pili katika mashindano hayo.
-
Mufti wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zuber, Arejea Nchini Baada ya Kikao cha Kimataifa Nchini Misri
"Tumejadili namna bora ya kumaliza mzozo huo kwa njia ya amani. Na tunawaombea ndugu zetu wa Gaza ili Mwenyezi Mungu awape amani na kumaliza mgogoro huu wa muda mrefu,"
-
Wanasayansi wa Iran Watumia AI Kuboresha Picha za Setilaiti na Takwimu za Anga
Wachambuzi wanasema kuwa hatua hii inaweza kuongeza uwezo wa Iran katika usalama wa kitaifa, usalama wa chakula, na uchunguzi wa hali ya mazingira, sambamba na kuipa nafasi ya kushindana katika teknolojia ya anga kimataifa.
-
Mafanikio Makubwa ya Iran: Yarusha Satelaiti (Nahid-2) katika Obiti na Kufanikiwa Kutesti Kombora la Khorramshahr-5 lenye uwezo wa kufika hadi 12000KM
Iran imejiweka kwenye orodha ya mataifa 9 duniani yaliyofanikiwa kubuni, kutengeneza na kurusha satelaiti yake kwa uwezo wa ndani kabisa.
-
Mamlaka za Israeli zimethibitisha kukamatwa kwa raia wawili wa Israeli kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran
Watu wawili waishio katika mji wa Haifa wamekamatwa kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran.
-
Hakim: Hashd al-Shaabi ina Jukumu la msingi katika kuilinda Iraq
Kiongozi wa Harakati ya Hekima ya Kitaifa ya Iraq amesisitiza umuhimu wa Hashd al-Shaabi katika kulinda nchi ya Iraq na ametoa wito wa kuendelezwa kwa juhudi za kiusalama pamoja na matumizi ya teknolojia za kisasa katika uwanja huo. Sayyid Ammar Hakim pia ameashiria kujitolea kwa Hashd al-Shaabi na nafasi yake katika kuleta uthabiti nchini Iraq, na amesisitiza ulazima wa kulinda heshima na sifa njema ya taasisi hiyo.