Uadilifu
-
Afisa wa Iraq: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwakilisha shule ya Jihadi, elimu, msimamo na kujitolea
Mkuu wa Ofisi ya Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq mjini Tehran, Majid Al-Ghammas, amesema Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwakilisha shule ya jihadi, elimu, uwajibikaji, uthabiti na kujitolea, akisisitiza kuwa maisha yake yamekuwa mfano kwa vizazi vijavyo.
-
Kiongozi wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (SAW): Vikosi vyetu vya ulinzi viko tayari kuimarisha mamlaka na usalama wa taifa
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (SAWW), Meja Jenerali Ali Abdullahi, amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko katika utayari wa hali ya juu kulinda usalama wa taifa, haki za wananchi na kukabiliana na vitisho vyovyote vinavyolenga nchi hiyo.
-
Wito wa Hekima na Umoja Watolewa kwa Umma wa Kiislamu, Uislamu Wahimizwa Kujengwa juu ya Elimu na Uadilifu
Wito wa kuimarisha hekima, uadilifu na umoja ndani ya Umma wa Kiislamu umetolewa, ukisisitiza kuwa tofauti za kimtazamo na kimadhehebu hazipaswi kuwa chanzo cha chuki bali fursa ya majadiliano ya kielimu na kuheshimiana.
-
Majlisi ya Maombolezo ya Muharram Yafanyika Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Majlisi ya maombolezo ya mwezi wa Muharram imefanyika katika Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam, Tanzania, ambapo mhadhiri alikuwa Sheikh Taqee Zacharia Athumani, akizungumzia sababu za kuhuishwa kwa kumbukumbu ya Karbala kila mwaka.
-
Qalibaf: Muqawama wa Lebanon na Diplomasia ya Iran Vinahakikisha Uhuru na Uadilifu wa Ardhi ya Lebanon
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema jihadi ya Muqawama wa Kiislamu nchini Lebanon pamoja na diplomasia madhubuti ya Iran vinahakikisha mamlaka na uadilifu wa ardhi ya Lebanon, akisisitiza kuwa maadui hawataweza kamwe kuitenga au kuisambaratisha nguzo yoyote ya Muqawama.
-
Haki na Uadilifu wa Kifamilia katika Mizani ya Riwaya; Tathmini Upya ya Mipaka ya Ndoa ya Muda (Mut’a)
Ndoa ya muda (Mut’a) ambayo Mtume (s.a.w.w) aliihalalisha na Qur’ani ikaithibitisha, kwa msingi wa fiqhi ya Shia ni halali kisheria. Hata hivyo, riwaya zimeweka miongozo ya kimaadili na kijamii inayosisitiza tahadhari katika baadhi ya mazingira.
-
Imani ya Mahdawi: Vipi Iliwafanya Waislamu wa Kishia Kusimama Imara Katika Mitihani Mikubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu?
Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s), likiwa limejengwa juu ya itikadi ya kumwamini Imam Mahdi (a.t.f.s) aliyeahidiwa kwa mataifa yote, linabeba mafundisho yenye utajiri mkubwa kuhusu uadilifu na uokovu. Mafundisho haya yamewafanya Waislamu wa Kishia kubaki imara, thabiti na wenye heshima katika mitihani na misukosuko mikubwa ya ulimwengu wa Kiislamu.
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
Uislamu ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan amesema kuwa: Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ambao ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki, na mfano bora zaidi wa hayo ni mfumo wa haki wa Imam Ali (a.s) ambao utabaki kuwa kielelezo cha uadilifu na usawa daima.
-
Tukio la “Iran Moyo Mmoja”:
Sheikh Naeem Qassem: Iran Daima Iko Kando ya Muqawama / Mmekuwa Mfano kwa Dunia Nzima
Sheikh Qassem pia aliipongeza Iran ya Kiislamu kwa kusimama kwake kwa ushujaa mkubwa dhidi ya uvamizi wa Marekani na Israel kwa kipindi cha siku kumi na mbili, akisema: “Alhamdulillah, mmeonyesha mfano kwa dunia nzima jinsi ya kupambana na uvamizi, kusimama imara, na kufikia mafanikio makubwa kwa baraka za uongozi wa Imam Khamenei (h.a), umoja wa watu na uaminifu wa wanajeshi wenu shupavu. Ushindi huu utaandikwa katika historia.” Akaongeza kwa kusisitiza: “Tunajua Iran inalipa gharama kubwa kwa kusimama upande wa haki, upande wa muqawama, upande wa Palestina, na upande wa mataifa yote yanayohitaji msaada. Lakini hii ndiyo Iran — mfano wa kujitolea, utukufu na uadilifu — ambayo haidai chochote kwa kusimama na wanyonge. Iran hii imesimama kwa ajili ya utukufu wa ubinadamu.” Sheikh Qassem alizungumzia pia vikwazo vipya dhidi ya Iran, akisema: “Leo tena wameiwekea Iran vikwazo vipya. Je, vikwazo hivi viliwahi kuacha kuwepo? Tangu ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu miaka 46 iliyopita, Iran imeendelea kuwa chini ya vikwazo, lakini kila siku taifa hili limeendelea kung’aa zaidi na kuthibitisha kuwa ni taifa la ukweli na la mapambano.”
-
Arubaini: Jukwaa la Haki, Amani na Uadilifu, na ni Taa ya Uongofu na Jahazi la Uokovu
Historia inaonyesha kuwa jukwaa hili lina mizizi imara katika imani, haki na uadilifu. Lilianza na mtu mmoja au wawili zaidi ya karne kumi zilizopita. Pamoja na changamoto nyingi zilizowakumba waliolipanda, idadi ya washiriki imekuwa ikiongezeka kila mwaka - hasa baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.