Uchambuzi
-
Kuanzia Panama 1989 hadi Venezuela 2025; Kurudiwa kwa Sera ya Uingiliaji wa Marekani katika Amerika ya Kusini
Uingiliaji huu, ambao mara nyingi umelaaniwa na jumuiya ya kimataifa, umezaa matokeo ya kudumu kama vile ukosefu wa utulivu, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kudhoofishwa kwa uhuru wa mataifa - hali inayosisitiza tena umuhimu wa kuheshimu sheria za kimataifa na kupinga sera za upande mmoja zinazoathiri amani ya kikanda.
-
Uchambuzi wa ramani ya Israel: Kutoka Ghaza na Ukanda wa Magharibi hadi Syria katika kivuli cha ukimya na Vita Baridi
Baada ya tangazo la mapumziko ya silaha, umakini wa kimataifa kwa Ghaza ulipungua, na kuipa Israel nafasi ya kuchukua hatua bila shinikizo lolote la kweli. Uchambuzi huu unaisha kwa onyo kwamba kimya cha kimataifa kinachoendelea hakiondoi uwezekano wa mlipuko wa hali hiyo, bali kinariongeza.
-
Uchambuzi na Tathmini ya Thawabu za Ajabu na za Kipekee kwa Matendo Rahisi
Kuwepo kwa thawabu kubwa kwa baadhi ya matendo rahisi ni jambo lisilopingika, kwa sababu mizani ya Mwenyezi Mungu katika kutoa malipo haifanani na mizani ya kidunia.
-
Iran Yazalisha Dawa ya Kuzuia Leukemia;
Dawa ya Kuzuia Leukemia ya Iran Yapunguza Gharama ya Matibabu kwa 95%
Maendeleo haya ni kielelezo cha hatua muhimu kwa Uhuru wa bioteknolojia na huduma za afya za Iran, yakionyesha mabadiliko yanayoendelea ya uchumi wa maarifa (iqtisad-e danesh-bonyan).
-
Sisi na wamagharibi kwa Mtazamo wa Imam Khamenei – Mkutano Uliofanyika Nchini Kenya +Picha
Pourmarjan: “Ayatollah Khamenei, kama mwanafiqhi na mwanafikra mashuhuri katika ulimwengu wa Kiislamu, na ambaye ametumia zaidi ya miaka sitini katika nyanja za kielimu, kidini, kitamaduni, na kisiasa, ametoa mitazamo sahihi na ya kimkakati kuhusu Magharibi. Uelewa wa fikra hizi ni muhimu sana kwa kizazi cha leo cha vijana na wasomi.”
-
Kikundi cha “Abu Shabab” Kusini mwa Ukanda wa Gaza kiko katika hali ya kusambaratika
Kikundi cha wanamgambo kinachoitwa “Abu Shabab” kiko karibu kabisa kuvunjika baada ya kupoteza msaada wa anga kutoka kwa Israel na kushambuliwa kwa mashambulizi ya kulipiza kisasi kutoka kwa Harakati ya Hamas.
-
Mfumo wa Utambuzi na wa Mauaji ya Kigaidi wa Israel: Unategemea Makadirio ya Akili Bandia
Baada ya uchambuzi wa mfumo huo wa Akili Bandia, jengo hupewa "kiwango cha hatari (uwiano wa hatari)" (risk coefficient). Mfumo huo haufanyi maamuzi kwa uhakika, bali hufanya kwa msingi wa makadirio. Kwa mfano: Hata kama kuna asilimia 50 tu ya uwezekano kuwa jengo linahifadhi silaha, linaweza kulengwa na kushambuliwa.