Uturuki
-
Muqtada al-Sadr Ataka Iraq Ianzishe Mazungumzo na Uturuki Kuhusu Mgogoro wa Maji
Kufuatia kupungua kwa vyanzo vya maji nchini Iraq, Muqtada al-Sadr ametoa wito wa kuanzishwa kwa mazungumzo na Uturuki ili kuongeza mgao wa maji, na ametahadharisha kuhusu athari za mgogoro wa maji kwa afya na kilimo cha wananchi.
-
Kuzidi kwa mivutano kati ya Tel Aviv na mhimili wa Ikhwan | Tishio la Uturuki la Shambulio la Kijeshi
Gazeti la Haaretz pia limeitaja Uturuki kuwa shabaha inayofuata zaidi ya Israel na limeonya kuhusu athari mbaya zitakazotokana na hilo.
-
Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu
Uturuki imetangaza rasmi kuwa imefungia anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, na haitatoa ruhusa yoyote kwa safari yake kwenda Azerbaijan. Hatua hii imechukuliwa kutokana na sera za utawala wa Israel kuhusu Gaza, na Uturuki inaendelea kuunga mkono haki za watu wa Palestina.
-
Idadi ya waliokamatwa katika Maandamano dhidi ya Serikali ya Uturuki imeongezeka hadi kufikia watu 343
Kufuatia maandamano ya Uturuki yaliyotokana na kukamatwa kwa Meya wa Istanbul, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki ametangaza kukamatwa kwa watu 343 katika majimbo 9 ya nchi hiyo.
-
Matukio 4 yanayowezekana kuwa hatima ya mpinzani wa Erdogan katika uchaguzi baada ya kukamatwa kwake
Hivi sasa, kuna hali (ihtimali) nne zinazowezekana kwa ajili ya mustakabali wa Akram Imam-oglu, Meya wa Istanbul na Mgombea anayetarajiwa katika uchaguzi wa Rais wa Uturuki.