Uturuki
-
Iran Yafanya Mazungumzo ya Simu na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia na Uturuki
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amezungumza kwa simu na mawaziri wenzake wa Saudi Arabia na Uturuki kuhusu masuala ya pande mbili, maendeleo ya kikanda na juhudi za kidiplomasia za kurejesha utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Vyombo vya habari vya Kiebrania: Israel ilishambulia kituo cha Abu al-Duhur kuchunguza mienendo ya Uturuki
Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti kuwa shambulio la anga la utawala wa Israel dhidi ya kituo cha kijeshi cha Abu al-Duhur, kusini mwa Idlib nchini Syria, lililenga kuchunguza na kujaribu nia za Uturuki, huku taasisi za usalama za Israel zikiwa zimeonya dhidi ya kufungua mzozo mpya na Ankara.
-
Trump: Tulikabili Hatari Kubwa, Ikiwemo Uwezekano wa Kuuawa, Wakati wa Kuondoka Uturuki
Donald Trump alidai kuwa Marekani “inadhibiti kikamilifu” Mlango wa Hormuz, akisema: “Siitambui Iran kama nchi ya kuaminika, na tunadhibiti kikamilifu Mlango wa Hormuz.”
-
Uturuki na Pakistan zaingia makubaliano ya ulinzi na Saudi Arabia: Shambulio dhidi ya mmoja litachukuliwa kuwa shambulio dhidi ya wote
Uturuki, Saudi Arabia na Pakistan zimetia saini makubaliano ya pamoja ya ulinzi mjini Makka, yakieleza kuwa shambulio lolote la kijeshi dhidi ya moja ya nchi hizo tatu litachukuliwa kuwa shambulio dhidi ya nchi zote tatu.
-
Araghchi: Iran haijawahi kutoza ada za usafirishaji katika Mlango wa Hormuz licha ya miongo ya vikwazo na mashinikizo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Iran imeendelea kuruhusu usafirishaji kupitia Mlango wa Hormuz bila kutoza ada yoyote kwa miongo kadhaa, tofauti na njia nyingine muhimu za kimataifa za majini zinazotoza ada za usafirishaji.
-
“Diplomasia ya Aya”: Aya za Qur'ani zilizosomwa katika marasimu ya mazishi ya Kiongozi Shahidi Imam Sayyid Ali Khamenei zavutia hisia za wengi
Katika marasimu ya kuuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Sayyid Ali Khamenei (Quds Sirruh), uteuzi wa Aya za Qur'ani Tukufu zilizosomwa kwa kila ujumbe wa wageni waliotoa salamu za rambirambi ulivutia hisia za wengi, huku kila Aya ikionekana kubeba ujumbe maalumu wa kisiasa, kiitikadi na kiroho.
-
Araghchi Azungumza na Mawaziri wa Uturuki na Saudi Arabia: Iran Ina Haki ya Kujibu Mashambulizi ya Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na kusema Iran ina haki halali ya kujibu uchokozi wowote dhidi ya mamlaka na umoja wa ardhi ya nchi hiyo.
-
Waziri wa Vita wa Israel Aishambulia Uturuki kwa Maneno Makali: “Israel Haiko Katika Hali ya Kusambaratika”
Waziri wa Vita wa Israel ametoa kauli kali dhidi ya viongozi wa Uturuki, akisisitiza kuwa Israel si dola inayoporomoka kama ilivyokuwa baadhi ya himaya za kihistoria. Aidha, amekosoa kile alichodai kuwa ni ndoto za kufufua Himaya ya Ottoman na kuionya Ankara dhidi ya sera zake za kikanda.
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) Uturuki Yaionya Marekani: Imam Khamenei ni Mstari wetu Mwekundu
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Uturuki, katika tamko lake, imetangaza kuwa jaribio lolote la kumvunjia heshima au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mstari mwekundu wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Mtaalamu wa Kituruki katika mazungumzo na ABNA:
“Ukanda wa vizuizi wa Israel dhidi ya Uturuki kupitia makubaliano ya pande tatu Mediterania / Siku ngumu za kiuchumi kwa Uturuki zinakuja”
Ali Haidari, mtaalamu wa masuala ya Uturuki, amesema katika mazungumzo na ABNA kuwa Israel inajaribu kuunda ukanda wa vizuizi dhidi ya Uturuki ili kuizuia kuwasiliana na Afrika na Ulaya kupitia magharibi mwa Uturuki, na pia kuzuia Ankara kunufaika na rasilimali kubwa za Mediterania.
-
Mbunge wa Lebanon;
Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia
Ikumbukwe kuwa jarida moja la Lebanon lilidai hivi karibuni kuwa Ammar Al-Moussawi, afisa wa mahusiano ya kigeni wa Hezbollah, amekuwa kwa siku tatu katika safari ya siri nchini Saudi Arabia kwa upatanishi wa Uturuki, madai ambayo hadi sasa hayajathibitishwa rasmi.
-
Araghchi:
Balozi Mkuu wa Iran katika Van utafunguliwa / Chanzo kikubwa zaidi cha tishio kwa Syria ni kutoka kwa utawala wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema: Iran na Uturuki si tu nchi jirani, bali ni nchi mbili rafiki na ndugu zenye ushirikiano mkubwa sana.
-
Dkt. Khamehyar: Uturuki ya baadae haitakwenda kuelekea Uislamu wa kisiasa wa kiwango cha juu, wala haitarudi kwenye msimamo mkali wa kisekula
Mshauri wa masuala ya kimataifa wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu: Kudumu kwa chama cha AKP kwa kipindi cha miaka ishirini iliyopita kumebadilisha kabisa sura ya Uislamu wa kisiasa nchini Uturuki. Ushindani kati ya Waislamu wa kisiasa na wasekula utaendelea.
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.