Uturuki
-
Mtaalamu wa Kituruki katika mazungumzo na ABNA:
“Ukanda wa vizuizi wa Israel dhidi ya Uturuki kupitia makubaliano ya pande tatu Mediterania / Siku ngumu za kiuchumi kwa Uturuki zinakuja”
Ali Haidari, mtaalamu wa masuala ya Uturuki, amesema katika mazungumzo na ABNA kuwa Israel inajaribu kuunda ukanda wa vizuizi dhidi ya Uturuki ili kuizuia kuwasiliana na Afrika na Ulaya kupitia magharibi mwa Uturuki, na pia kuzuia Ankara kunufaika na rasilimali kubwa za Mediterania.
-
Mbunge wa Lebanon;
Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia
Ikumbukwe kuwa jarida moja la Lebanon lilidai hivi karibuni kuwa Ammar Al-Moussawi, afisa wa mahusiano ya kigeni wa Hezbollah, amekuwa kwa siku tatu katika safari ya siri nchini Saudi Arabia kwa upatanishi wa Uturuki, madai ambayo hadi sasa hayajathibitishwa rasmi.
-
Araghchi:
Balozi Mkuu wa Iran katika Van utafunguliwa / Chanzo kikubwa zaidi cha tishio kwa Syria ni kutoka kwa utawala wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema: Iran na Uturuki si tu nchi jirani, bali ni nchi mbili rafiki na ndugu zenye ushirikiano mkubwa sana.
-
Dkt. Khamehyar: Uturuki ya baadae haitakwenda kuelekea Uislamu wa kisiasa wa kiwango cha juu, wala haitarudi kwenye msimamo mkali wa kisekula
Mshauri wa masuala ya kimataifa wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu: Kudumu kwa chama cha AKP kwa kipindi cha miaka ishirini iliyopita kumebadilisha kabisa sura ya Uislamu wa kisiasa nchini Uturuki. Ushindani kati ya Waislamu wa kisiasa na wasekula utaendelea.
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Muqtada al-Sadr Ataka Iraq Ianzishe Mazungumzo na Uturuki Kuhusu Mgogoro wa Maji
Kufuatia kupungua kwa vyanzo vya maji nchini Iraq, Muqtada al-Sadr ametoa wito wa kuanzishwa kwa mazungumzo na Uturuki ili kuongeza mgao wa maji, na ametahadharisha kuhusu athari za mgogoro wa maji kwa afya na kilimo cha wananchi.
-
Kuzidi kwa mivutano kati ya Tel Aviv na mhimili wa Ikhwan | Tishio la Uturuki la Shambulio la Kijeshi
Gazeti la Haaretz pia limeitaja Uturuki kuwa shabaha inayofuata zaidi ya Israel na limeonya kuhusu athari mbaya zitakazotokana na hilo.
-
Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu
Uturuki imetangaza rasmi kuwa imefungia anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, na haitatoa ruhusa yoyote kwa safari yake kwenda Azerbaijan. Hatua hii imechukuliwa kutokana na sera za utawala wa Israel kuhusu Gaza, na Uturuki inaendelea kuunga mkono haki za watu wa Palestina.
-
Idadi ya waliokamatwa katika Maandamano dhidi ya Serikali ya Uturuki imeongezeka hadi kufikia watu 343
Kufuatia maandamano ya Uturuki yaliyotokana na kukamatwa kwa Meya wa Istanbul, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki ametangaza kukamatwa kwa watu 343 katika majimbo 9 ya nchi hiyo.
-
Matukio 4 yanayowezekana kuwa hatima ya mpinzani wa Erdogan katika uchaguzi baada ya kukamatwa kwake
Hivi sasa, kuna hali (ihtimali) nne zinazowezekana kwa ajili ya mustakabali wa Akram Imam-oglu, Meya wa Istanbul na Mgombea anayetarajiwa katika uchaguzi wa Rais wa Uturuki.