Wajibu
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Tutalinda Ardhi Yetu kwa Kutumia Uwezo Wetu Wote
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kutetea uhuru, mamlaka na umoja wa ardhi yake kwa kutumia uwezo wake wote, huku ikiishutumu Marekani kwa kile ilichodai kuwa ni ukiukaji wa makubaliano, kuendeleza mashambulizi na kuvunja sheria za kimataifa.
-
Sayyid Mustafa Khamenei: Subira haiipingani na kulipiza haki wala kukabiliana na waovu
Sayyid Mustafa Khamenei amesema kuwa subira ya kweli si udhaifu wala kusalimu amri, bali ni kusimama imara katika njia ya haki huku ukiendelea kukabiliana na waovu na kutafuta haki dhidi ya waliohusika na uhalifu mkubwa.
-
Ayatollah Araki Akihutubia Vijana Duniani:
“Kumwaga damu ya Trump, Netanyahu na washirika wao ni ‘wajibu’; vijana wenye ari duniani kote watekeleze hukumu ya Mwenyezi Mungu”
Ayatollah Araki amesisitiza kwamba: “Ujumbe wa Kiongozi Mkuu na mpendwa kuhusu kulipiza damu ya Imam shahidi na mashahidi wote ni amri ya ‘wajibu wa kutii’. Na kwa wale wote wanaoweza kwa namna yoyote kuchangia katika kutekelezwa kwa jambo hilo, ni wajibu kuchukua hatua zinazohitajika haraka.”
-
Gharib Abadi: Nguvu za Kijeshi za Iran Zililazimisha Adui Kuketi Mezani; Hati ya Mwisho ya Makubaliano Yakamilika
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Gharib Abadi, amesema nguvu za kijeshi za Iran ndizo zilizomlazimisha adui kurejea kwenye mazungumzo, akisisitiza kuwa maandishi ya mwisho ya hati ya maelewano yamekamilika na kutiwa saini rasmi kutafanyika Ijumaa nchini Uswisi, huku Iran ikiahidi kujibu hatua yoyote ya kutotekelezwa kwa ahadi za upande wa pili.
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum: Swaumu ya Ramadhan si adhabu, bali ni Tiba ya Kiroho na Kimwili
Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum anafafanua kuwa swaumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhan si adhabu, bali ni ibada iliyojaa huruma ya Mwenyezi Mungu. Kufunga kunalenga kutuponya kiroho na kimwili, kuimarisha nafsi, na kutufundisha subira, kama ambavyo Daktari (Tabibu) humlazimisha mgonjwa kunywa dawa chungu, lakini sio kwa lengo la kumuadhibu, bali ili apone. Swaumu ni fursa ya kujenga uhusiano thabiti baina ya Mja na Mola wake (swt) na kupata manufaa mapana katika maisha yetu.
-
Hizbullah: Ulegevu wa serikali ya Lebanon unaongeza ukatili wa Wazayuni
Hizbullah imesisitiza katika taarifa yake kwamba serikali ya Lebanon inapaswa kufahamu kuwa kila aina ya ulegevu, udhaifu au kujisalimisha mbele ya utawala wa Kizayuni kutawafanya waongeze ukatili na tamaa zao za kupindukia.
-
Uchambuzi na Tathmini ya Thawabu za Ajabu na za Kipekee kwa Matendo Rahisi
Kuwepo kwa thawabu kubwa kwa baadhi ya matendo rahisi ni jambo lisilopingika, kwa sababu mizani ya Mwenyezi Mungu katika kutoa malipo haifanani na mizani ya kidunia.
-
Si jambo lisilowezekana Israel kuishambulia Saudia; Riyadh imo ndani ya mradi wa ‘Israel Kubwa
Kutoa matrilioni ya dola kwa Trump na kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel hakukuwaletea usalama wowote Saudia na washirika wake.
-
“Ikiwa riziki imeamuliwa, kwa nini tunapaswa kufanya kazi?”
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu, basi nafasi ya kazi, jitihada, na kupanga mipango ni ipi?” Je, imani kwa takdiri ya Mungu inamaanisha kuacha kutumia njia halisi na kusubiri pasipo kufanya lolote?
-
Utekelezaji wa Majaribio wa Mpango wa "Shule Huru" katika Hawza ya Qom
Naibu Meneja wa Hawza ya Qom ametangaza kupitishwa kwa mpango wa “Shule Huru” na kuanza kutekelezwa kwa majaribio.