Kufanyika kwa Sherehe ya Kuvutia ya Taklif (Kufikia umri wa kutekeleza sheria za Kiislamu) kwa Mabinti wa Senegal Huko Dakar sambamba na uwepo wa Ayatollah Reza Ramezani
"Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Tunapaswa kuwa na mtazamo jumuishi kuhusu dini ili tuone athari kamili za dini; mtazamo jumuishi maana yake ni kwamba dini ina sura ya nje na ya ndani, ina wajibu wa mtu binafsi na pia wajibu wa kijamii. Haiwezekani dini iwe na hukumu nyingi za kijamii lakini isiwe na Serikali."
Mume na Mke wako huru kutekeleza majukumu yao ya Faradhi ya Shariah, na kitendo cha wote wawili kiko chini ya idhini ya mwingine. Na funga (Saumu) ya Wajibu pia iko hivyo.