Wajibu
-
Utekelezaji wa Majaribio wa Mpango wa "Shule Huru" katika Hawza ya Qom
Naibu Meneja wa Hawza ya Qom ametangaza kupitishwa kwa mpango wa “Shule Huru” na kuanza kutekelezwa kwa majaribio.
-
Ayatollah Ramezani katika Sherehe (Hafla) ya Taklif ya Mabinti wa Senegal: Imani na Elimu ni Mabawa Mawili ya Kuruka (Kupaa) kwa Jamii ya Kiislamu
Kufanyika kwa Sherehe ya Kuvutia ya Taklif (Kufikia umri wa kutekeleza sheria za Kiislamu) kwa Mabinti wa Senegal Huko Dakar sambamba na uwepo wa Ayatollah Reza Ramezani
-
"Ayatollah Ramezani: Dini inapaswa kuwa na ufanisi katika nyanja mbalimbali za kitamaduni, kisiasa na kiuchumi"
"Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Tunapaswa kuwa na mtazamo jumuishi kuhusu dini ili tuone athari kamili za dini; mtazamo jumuishi maana yake ni kwamba dini ina sura ya nje na ya ndani, ina wajibu wa mtu binafsi na pia wajibu wa kijamii. Haiwezekani dini iwe na hukumu nyingi za kijamii lakini isiwe na Serikali."
-
Ni Ipi Hukumu ya Mwanamke Kufunga Bila ya Idhini ya Mumewe?
Mume na Mke wako huru kutekeleza majukumu yao ya Faradhi ya Shariah, na kitendo cha wote wawili kiko chini ya idhini ya mwingine. Na funga (Saumu) ya Wajibu pia iko hivyo.