dhati
-
Al-Mustafa na Chuo Kikuu cha Félix Houphouët-Boigny katika Njia ya Kuimarisha Ushirikiano wa Kitaaluma
Mkutano huu unaakisi nia ya dhati ya pamoja ya vyuo hivyo viwili katika kuinua ubora wa elimu ya juu, kupanua ushirikiano wa baina ya vyuo vikuu, na kubadilishana uzoefu wa kielimu nchini Côte d’Ivoire.
-
Fadhila za Sayyidat Fatima Zahraa (s.a): Mlinzi Mshikamanifu wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)
Katika tukio maarufu lililonukuliwa na vitabu vya historia na hadith, Bibi Fatima (a.s) alienda kwa uchungu mkubwa kuondoa matumbo ya ngamia yaliyowekwa na washirikina kichwani mwa Mtume (s.a.w.w) wakati akiwa katika sajda. Tukio hili linabaki kuwa ushahidi wa mapenzi yake ya kipekee na ulinzi usioyumba kwa Mtume wa Uislamu(s.a.w.w).
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Minnesota Afichua “Mkakati wa Kipuuzi” wa Marekani dhidi ya Iran
Anakanusha madai ya Tom Barrack kuhusu kuachwa kwa sera ya kuuangusha utawala wa Iran.
-
Ni rahisi kuingia kwenye tabia mbaya, lakini Kutoka ni vigumu mno | Ingawa inawezekana kutoka
Kwa Msaada Sahihi, Nia ya dhati, na uvumilivu, mtu anaweza Kutoka kwenye Tabia mbaya.