Serikali ya kijeshi ya Mali imetenga dola milioni 3.5 kwa taarifa zitakazowezesha kukamatwa au kuuawa kwa kiongozi wa JNIM, Iyad Ag Ghaly, na dola milioni 2.5 kwa taarifa kuhusu naibu wake, Amadou Kouffa.
Ilikuwa Januari 8, 2020 pindi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilipofanya Shambulizi kubwa la Kihistoria kwa kuitwanga Kambi ya Kijeshi ya Marekani iliyoitwa "Ain al-Asad" ikiwa ni sehemu ya kulipiza kiasi baada ya Kuuawa kwa Shahidi Qassem Soleimani