kuuwawa
-
Bayani / Taarifa ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as):
Kuuawa Shahidi kwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu kulikuwa Mwanzo wa Biitha Mpya ya watu wa Iran na Umma wa Kiislamu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as), akitoa taarifa kwa mnasaba wa kuuawa na kuzikwa kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, amelitaja tukio hilo kuwa ni msiba usioweza kurekebishwa kwa Uislamu, Taifa la Iran na Umma wa Kiislamu, na ameielezea safari ya kihistoria ya kuaga ya makumi ya mamilioni ya watu katika miji mitano ya nchi mbili kuwa ni ishara ya “Biitha mpya ya umma” na azma ya Waislamu ya kuendeleza mapambano dhidi ya ubeberu na utawala wa Kizayuni chini ya uongozi wa mrithi mwema wa Kiongozi huyo.
-
Kisa cha Kihistoria:Jinsi na Kwa Nini Shahidi Hujjatul Islam Sayyid Abdul Karim Hashimi Nejad Aliuawa na Shirika la Kigaidi la Mujahideen-e Khalq /MEK
Kwa mujibu wa simulizi za kihistoria, kuuawa kwa Shahidi Hujjatul Islam Sayyid Abdul Karim Hashimi Nejad mnamo mwaka 1981 kulikuwa sehemu ya mfululizo wa mauaji yaliyotekelezwa na Shirika la Kigaidi la Mujahideen-e Khalq (MEK), likiwa na lengo la kuwaondoa viongozi waliokuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Araghchi aishukuru Thailand kwa mshikamano wake na Iran kufuatia kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameishukuru Thailand kwa jumbe zake za pole na mshikamano kwa serikali na wananchi wa Iran, huku akieleza kuthamini ushiriki wa mwakilishi wa nchi hiyo katika shughuli za kumuaga Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei (r.a.).
-
Kwa Mujibu wa ABNA: Iran Yaadhimisha Kumbukumbu ya Shahidi Dkt. Mustafa Chamran
Tarehe 21 Juni ni kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Dkt. Mustafa Chamran, mwanasiasa, mwanasayansi na kamanda mashuhuri wa kijeshi wa Iran aliyetoa maisha yake wakati wa vita vya Iraq dhidi ya Iran (1980–1988).
-
Sayyid Ammar al-Hakim na Ayatullah Ramadhani Wajadili Uimara wa Iran na Mchakato wa Kuunda Serikali Mpya Iraq
Katika mkutano uliofanyika Baghdad, Sayyid Ammar al-Hakim na Ayatollah Reza Ramezani walijadili maendeleo ya kisiasa nchini Iraq, huku wakisisitiza uimara wa wananchi wa Iran na umuhimu wa uongozi katika kipindi cha changamoto.
-
Serikali ya Iran Yatangaza Mali Zilizoachwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (r.a)
Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uchunguzi wa mali za Ayatullah Sayyid Ali Khamenei (r.a.) umebaini kuwa aliacha mali chache sana, jambo linalotajwa kuakisi maisha yake ya ucha-Mungu na kujiepusha na anasa.
-
Mali Yatangaza Zawadi ya Mamilioni ya Dola kwa Taarifa za Viongozi wa Kigaidi wa JNIM
Serikali ya kijeshi ya Mali imetenga dola milioni 3.5 kwa taarifa zitakazowezesha kukamatwa au kuuawa kwa kiongozi wa JNIM, Iyad Ag Ghaly, na dola milioni 2.5 kwa taarifa kuhusu naibu wake, Amadou Kouffa.
-
Leo Katika Historia:Iran Ilishambulia Kambi ya Ain al-Asad ya Marekani kwa Makombora ya Balistiki Ikiwa Kisasi cha Kuuawa kwa Jenerali Qasim Soleimani
Ilikuwa Januari 8, 2020 pindi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilipofanya Shambulizi kubwa la Kihistoria kwa kuitwanga Kambi ya Kijeshi ya Marekani iliyoitwa "Ain al-Asad" ikiwa ni sehemu ya kulipiza kiasi baada ya Kuuawa kwa Shahidi Qassem Soleimani