majeshi
-
Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC, Bunge Latangaza Majeshi ya Ulaya kuwa Makundi ya Kigaidi
Wabunge wa Iran wamevaa sare za IRGC na kutangaza azimio la kuyachukulia majeshi ya Ulaya kama makundi ya kigaidi, ikiwa ni jibu la hatua ya Ulaya kulitaja Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi la Iran kuwa kundi la kigaidi.
-
Rais wa Azerbaijan: Hatutumi vikosi vya kulinda amani Gaza
Ilham Aliyev, Rais wa Azerbaijan, ametangaza kuwa nchi yake haina mpango wa kutuma vikosi vyake kushiriki katika operesheni za kulinda amani nje ya mipaka ya nchi, ikiwemo Gaza.
-
Mtaalamu wa Kituruki katika mazungumzo na ABNA:
“Ukanda wa vizuizi wa Israel dhidi ya Uturuki kupitia makubaliano ya pande tatu Mediterania / Siku ngumu za kiuchumi kwa Uturuki zinakuja”
Ali Haidari, mtaalamu wa masuala ya Uturuki, amesema katika mazungumzo na ABNA kuwa Israel inajaribu kuunda ukanda wa vizuizi dhidi ya Uturuki ili kuizuia kuwasiliana na Afrika na Ulaya kupitia magharibi mwa Uturuki, na pia kuzuia Ankara kunufaika na rasilimali kubwa za Mediterania.
-
Katika siku ya mwisho ya likizo ya Hanuka kilichotokea ni;
Walowezi wa Kizayuni kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa
Walowezi wa Kizayuni leo asubuhi, siku ya Jumatatu, kwa ulinzi na msaada wa majeshi ya uvamizi wa Israel, waliuvamia ua wa Msikiti wa Al-Aqsa.
-
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran:
“Vikosi vya ulinzi vya Iran vimewashinda majeshi ya NATO katika vita vya siku 12”
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema: “Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.
-
Adui amechanganyikiwa na ana hofu kuhusu maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu / Kudumisha utayari wa hali ya juu na uboreshaji wa maunzi na programu
Ayatullah Khamenei amehusisha hasira za watu wasio na mapenzi mema (wenye nia mbaya) na mabishano yao kwenye vyombo vyao vya habari kuwa ni kuzidisha maendeleo ya Iran na kusema: "Wanabainisha mambo (matakwa) ambayo ni sehemu ya matamanio yao kwa anuani kuwa ni habari na uhakika, na ni lazima kubuni njia za kukabiliana na dhana na propaganda hizi."
-
Mwenyekiti wa Baraza la Ulamaa wa Pakistan: Mahali pa mwisho pa mradi wa "Israeli Kubwa" ni Makka na Madina
Mkuu wa Baraza la Ulamaa wa Pakistan alionya kwamba mradi wa "Israeli Kubwa" unatafuta udhibiti wa mwisho juu ya Madina na Makka.
-
Jeshi la Israel linapanga njama ya kuteka 50% ya Ukanda wa Gaza
Jeshi la Israel linapanga kudhibiti asilimia 50 ya Ukanda wa Gaza ikiwa kutakuwa hakuna maendeleo katika mazungumzo ya pande mbili.