maneno
-
Dkt. Pezeshkian: Umoja na Mshikamano Nguvu Yetu Dhidi ya Maadui
Alionya dhidi ya kuvunjika kwa mshikamano wa taifa na urafiki wa majirani, akibainisha kuwa hayo ni malengo ya Marekani na Israel ya kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu na nchi za jirani.
-
Waraka wa “Siri Iliyo Hifadhiwa” ni nini?
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika ubora na thawabu ya kumswalia Bibi Fatimah Zahra (a.s) amesema: “Ewe Fatimah! Yeyote atakayekuswalia na kukutumia salamu, Mwenyezi Mungu atamsamehe na popote nitakapokuwa katika Pepo atamuunganisha nami.”
-
"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).
-
Maana ya Maneno ya Ayatullah Ustadh Abdullah Jawadi Amuli kwamba: “Rudisha jiwe, kule lilipotoka”
Katika uwanja wa kisiasa, kauli hii inaweza kumaanisha kuwa taifa au jamii halipaswi kuruhusu kushambuliwa, kupuuzwa au kudhulumiwa na adui wa ndani au wa nje, bali lazima ichukue hatua za kulinda maslahi yake kwa ujasiri.