maneno
-
Hemn Sidi:
"Mikutano ya Munich na Los Angeles Haikuwa Mikutano Mikubwa Zaidi ya Wairani Walio nje ya Nchi; Uzito wa Kisiasa wa Reza Pahlavi Haujabadilika"
Hemn Sidi, mgombea kisiasa wa upinzani na mtangazaji wa zamani wa mtandao wa Manoto, amebainisha kuwa mikutano ya Munich na Los Angeles haikuwa mikutano mikubwa zaidi ya Wairani walioko nje ya nchi, huku akisisitiza kuwa uzito wa kisiasa wa Reza Pahlavi haujabadilika. Aidha, alielezea idadi iliyoripotiwa ya washiriki katika Mji wa Munich kuwa «za hisia, za muda mfupi na hazidumu».
-
Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Mahdi (AS): Vijana Wakumbushwa Wajibu wa Kuijenga Jamii ya Uadilifu katika Kipindi cha Ghaiba
Katika mnasaba wa maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Mahdi (AS), Waislamu wa Shia na Sunni walikusanyika kujadili kuhusu Mwokozi wa Ulimwengu na wajibu wa Waumini katika kipindi cha Ghaiba. Khatibu Sheikh Suleimani Abdully aliwakumbusha vijana juu ya umuhimu wa kumcha Mwenyezi Mungu, kushukuru neema Zake na kujenga tabia njema ili kuandaa jamii yenye utu, uadilifu na iliyoepukana na dhulma na ufisadi.
-
Je, Taurati imebadilishwa? Angalia jibu la Qur’an hapa!
Kuhusu taarifa (maelezo) ya Qur’an Tukufu kuhusu ubadilishaji wa maneno ya Taurati, kuna mjadala wa kiitihadi kama ifuatavyo: 1. Mtazamo maarufu (ushahidi unaoonekana wazi kabisa katika Quran) Watafiti wengi na wafuasi wa mtazamo huu wanaona kwamba Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maneno kwa uwazi jabisa. Qur’an inataja maneno yaliyopinduliwa au kuharibiwa na baadhi ya Watu wa Kitabu (Ahlul-kita'bi): «يُحَرِّفُونَ الْكَلِمَ عَن مَوَاضِعِهِ» (An-Nisa 46) Hapa (kwa mujibu wa Aya hiyo Tukufu) , ubadilishaji huo unahusiana na maneno yenyewe, na si tafsiri tu. 2. Mtazamo wa wapinzani (Mukhalifuna) Wao wanasema kuwa Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maana, si maneno ya kifasihi: Wanasema kuwa maneno ya msingi hayajabadilishwa, lakini maana au tafsiri potofu ndizo zilizobadilishwa au kutumika vibaya. Hii inaitwa ubadilishaji wa maana (tafsiri) badala ya ubadilishaji wa maneno.
-
Sardar Amirian:
Kipaumbele cha Jumba la Makumbusho la Kitaifa la Mapinduzi ya Kiislamu na Vita Vitakatifu ni Kizazi Kipya / Tunakaribisha Mipango ya Wataalamu
Kipaumbele cha Jumba la Makumbusho la Kitaifa la Mapinduzi ya Kiislamu na Vita Vitakatifu ni Kizazi Kipya / Tunakaribisha Mipango ya Wataalamu.
-
Ustahimilivu wa waandishi wa habari wa Yemen kutoka Sana'a hadi Gaza:
Kuanzia kwa kuuawa shahidi kwa waandishi wa habari 32 wa Kiyemeni hadi kusimama imara kwa mwandishi wa Al-Masirah chini ya mashambulizi ya mabomu Gaza
Waandishi wa habari wa Kiyemeni walipaa (walipata shahada) wakiwa wamesimama imara katika 'uwanja wa maneno', wakikabiliana na adui na 'mradi wa uharibifu wa uvamizi wa kimataifa' unaoongozwa na Marekani, hadi wakapata shahada.
-
Dkt. Pezeshkian: Umoja na Mshikamano Nguvu Yetu Dhidi ya Maadui
Alionya dhidi ya kuvunjika kwa mshikamano wa taifa na urafiki wa majirani, akibainisha kuwa hayo ni malengo ya Marekani na Israel ya kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu na nchi za jirani.
-
Waraka wa “Siri Iliyo Hifadhiwa” ni nini?
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika ubora na thawabu ya kumswalia Bibi Fatimah Zahra (a.s) amesema: “Ewe Fatimah! Yeyote atakayekuswalia na kukutumia salamu, Mwenyezi Mungu atamsamehe na popote nitakapokuwa katika Pepo atamuunganisha nami.”
-
"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).
-
Maana ya Maneno ya Ayatullah Ustadh Abdullah Jawadi Amuli kwamba: “Rudisha jiwe, kule lilipotoka”
Katika uwanja wa kisiasa, kauli hii inaweza kumaanisha kuwa taifa au jamii halipaswi kuruhusu kushambuliwa, kupuuzwa au kudhulumiwa na adui wa ndani au wa nje, bali lazima ichukue hatua za kulinda maslahi yake kwa ujasiri.