meli
-
Shamkhani: Sisi sote tuko kwenye meli moja / Inasikitisha ikiwa meli itapata doa au udhaifu
Mwakilishi wa Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi katika Baraza Kuu la Ulinzi, akisisitiza umuhimu wa kudumisha umoja na mshikamano wa ndani, alisema: "Sisi sote tuko kwenye meli moja ambayo mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu waliizindua, na inasikitisha ikiwa, kwa bahati mbaya, tofauti zetu zitasababisha doa au pengo katika meli hii."
-
Marekani imeweka vikwazo dhidi ya watu 100 na taasisi mbalimbali kwa sababu ya kununua mafuta kutoka Iran
Serikali ya Donald Trump imeweka vikwazo vipya dhidi ya takriban watu 100, makampuni, na meli. Watu na taasisi hizi wanashutumiwa kushiriki katika ununua na usafirishaji wa mafuta na bidhaa za petrochemical za Iran.
-
Ombi la Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama kwa Serikali za Dunia: “Tuunge Mkono”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.
-
Yemen: Ikiwa Marekani itaingia vitani dhidi ya Iran ili kuisaidia Israel, tutashambulia Meli zake katika Bahari Nyekundu
"Yemen haitasalia kuishia kutizama na kutojali uchokozi wowote dhidi ya nchi ya Kiislamu."
-
Kushindwa kwa Wamarekani Mbele ya Msimamo wa Wayemen Katika Kipindi cha Siku 50 / Ansarullah Yabadilisha Mlinganyo wa Dunia kwa Manufaa ya Muqawama
Katika kipindi cha siku 50 za mapambano ya kistratejia baharini, harakati ya Ansarullah ya Yemen imeweza kusimama imara dhidi ya mashinikizo ya kijeshi na kisiasa ya Marekani na washirika wake, na hatimaye kuwadhihirishia ulimwengu kwamba dhamira ya mataifa huru inaweza kuvunja nguvu za mabeberu.