shule
-
Ayatullah Haj Sayyid Javad Golpayegani:
Ukosoaji wa Kuondolewa kwa Usimamizi wa Hospitali ya Qom Kutoka Mikononi mwa Bait al-Marja’iyya / Upanuzi wa Maktaba kwa Hifadhi ya Vitabu vya Thamani
Ayatullah Haj Sayyid Javad Golpayegani, mtoto wa Marja’ al-Marhumu’ wa Shia aliyefariki, ameelezea baadhi ya vipengele vya maisha na umarja wa baba yake katika mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa kwa heshima yake. Akimkumbuka baba yake, alirejelea ndoto ya Ayatullah al-Uzma Golpayegani kuhusu msaada wa ghaib wa Imam Zaman (A.J.) kwa Chuo cha Dini cha Qom, akithibitisha kwamba huduma za shule na maktaba zinaendelea hata baada ya kifo chake. Aidha, alikosoa hatua ya kuondolewa kwa usimamizi wa Hospitali ya Qom kutoka chini ya Bait al-Marja’iyya, akionyesha wasiwasi wake kuhusu athari za kiutawala na usimamizi wa hospitali hiyo.
-
Mgogoro wa marufuku ya Hijabu katika mji wa “Axum” nchini Ethiopia / Wanafunzi Waislamu warejea shuleni kwa amri ya mahakama
Katika nchi yenye historia ya kuishi kwa amani baina ya dini mbalimbali, mgogoro wa hijabu katika mji wa Axum umeibua tena mjadala kuhusu uhuru wa kidini nchini Ethiopia. Uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama Kuu ya eneo la Tigray unaweza kuwa hatua muhimu katika kuthibitisha haki za Waislamu na kuimarisha msingi wa usawa wa uraia .
-
Utekelezaji wa Majaribio wa Mpango wa "Shule Huru" katika Hawza ya Qom
Naibu Meneja wa Hawza ya Qom ametangaza kupitishwa kwa mpango wa “Shule Huru” na kuanza kutekelezwa kwa majaribio.
-
Faida ya kuingiza furaha katika moyo wa mtu mwenye matatizo
"Huna hasara yoyote hata chembe mbele ya Mwenyezi Mungu endapo utamsapoti Mwalimu kwa kumlipia mtoto wake ada ya shule na kumuepushia tatizo la mtoto wake kufukuzwa shule kwa ajili ya ada (school fees), au ukamlipia Mwalimu kodi ya nyumba"
-
Mkutano wa Mrs.Taqavi, Mudira wa Hawzat ya Wasichana ya Hazrat Zahra (s.a) na Wanafunzi wa Hawzat hiyo
Mkutano ulimalizika kwa mipango ya kuimarisha ushirikiano kati ya Wanafunzi na Walimu.
-
Maafisa wa Umoja wa Mataifa: Wasichana wa Afghanistan Wanapaswa Kurejea Shuleni
Mkurugenzi mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya Wanawake, akizungumzia kuendelea kupigwa marufuku kwa elimu ya wasichana wa Afghanistan, amesema kuwa wasichana katika nchi hii wanapaswa kurejea shuleni haraka iwezekanavyo.