"Huna hasara yoyote hata chembe mbele ya Mwenyezi Mungu endapo utamsapoti Mwalimu kwa kumlipia mtoto wake ada ya shule na kumuepushia tatizo la mtoto wake kufukuzwa shule kwa ajili ya ada (school fees), au ukamlipia Mwalimu kodi ya nyumba"
Mkurugenzi mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya Wanawake, akizungumzia kuendelea kupigwa marufuku kwa elimu ya wasichana wa Afghanistan, amesema kuwa wasichana katika nchi hii wanapaswa kurejea shuleni haraka iwezekanavyo.